Mafuriko ya kulazimisha jana

samakinchanga

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2014
Posts
2,024
Reaction score
1,233
ile haikuwa na namna lengo ni kushindana na Yanga eti,maonesho yooote ni kujisumbua kushindana na Yanga,lililokuwa linawakaanga na kuwakereketa moyoni na mashabiki wao.wao Yanga wala hawana presha.hongereni simba kwa jezi za njano mchanganyiko vizibao
 
Sioni Yanga Ikipiga Zaidi Inarudi Nyuma Yaani Taifa Gas Limited Unadhani Nini Kitatokea Baadaye
Mnawapa Watu Timu Wasiohusika Na Mpira
Yanga Mna Nini, Kule SIMBA Wamechangamka
Yanga Bariidii
 
Mkuuu wivu wivu hasira Simba Bingwa huwezi kushindana nayo
 
MwanaJF hajui kama Simba inavuna mamilioni ya fedha kwa kujaza uwanja. Akili za Yanga hizi
 
Reactions: Tui
We tema nyongo tu ila ukweli utabakia palepale harufu ya nyama utaendelea kuisikia kwa jirani tu. Kama nakuona vile ulivyovuta domo hahahaaaaaa
 
Una matatizo ya Color blindness, unashindwa kutofautisha Orange na Njano
Ha ha ha ha ha Hakuna Rangi inaitwa Damu ya Mzee... ni kulazimisha tu ile ni Nyekundu
Eti Njano mnataka muite Rangi ya chungwa?
 
Huwezi kuwa mbele ukashindana na wanyuma! Ulitaka kusema nini?
 
Wewe uliepiga picha za SIMBA DAY hongera sana... Picha konki sana! Hv ulikaa wapi?
 
Wivu mbaya sana. Pole ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…