Mafuriko yaigharimu Pakistan zaidi ya Tsh. Trilioni 23

Mafuriko yaigharimu Pakistan zaidi ya Tsh. Trilioni 23

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mipango, #AhsanIqbal inasema makadirio ya awali yanaonesha mafuriko makubwa yaliyoikumba nchi hiyo, yamesababisha uharibifu wa karibu Tsh. Trilioni 23.

Tayari Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limetoa msaada wa Tsh. Trilioni 2.5 kwaajili ya kukabiliana na madhara ya mafuriko hayo ambayo kwa mujibu wa Serikali, theluthi moja nchi imeharibiwa vibaya.

Mvua za Masika zinazonyesha zimesababisha vifo vya watu 1,136 na kuathiri maisha ya watu milioni 33 ambayo ni zaidi ya 15% ya idadi ya watu nchini humo, pia zimesomba Barabara, Mazao, Nyumba, Madaraja na miundombinu mingine.
-------------------------------

Pakistan's planning minister says early estimates show the devastating floods to hit the country have caused at least $10bn (£8.5bn) of damage.

His comment comes as another government minister said that one-third of the South Asian nation has been submerged.

Separately on Monday, Pakistan received a $1.1bn bailout from the International Monetary Fund (IMF).
That money is aimed to help the cash-strapped economy avoid defaulting on its debts.

The unprecedented flash floods caused by historic monsoon rains have killed at least 1,136 people and affected more than 33 million, over 15% of the country's population.

The torrential rains have also washed away roads, crops, homes, bridges and other infrastructure.

BBC
 
theluthi moja nchi imeharibiwa vibaya.
hatari sana kwa eneo kubwa kama hilo, .......1/3rd is equivalent to how many regions if it were Tanzania...10 regions roughly!.. Kagera, Mwanza , Shinyanga, Tabora, mara, manyara, Simiu, Arusha, Kigoma and Geita
 
Ingekuwa imetokea ulaya hii ungesikia Mungu yupo kuwanyosha kwa ushoga wanao ufanya.[emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom