Ayayayayayaaa ngoja nimalize Personal Taste na Kim So Roo nitaicheki.
Huyo yupo star gani?
Ah hapo ndio unanimalizaaaa siwajuiiiii! tukutane pande ilee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayayayayayaaa ngoja nimalize Personal Taste na Kim So Roo nitaicheki.
Huyo yupo star gani?
Kwahiyo ni vizuri kujenga nyumba kwenye mkondo wa maji kisa tu una bima? Hahahahahaa.
Kijana kazoea mafuriko kama huko kwao tandale.
Hahahaha hivi ile sheria ishasainiwa????
Global siku hizi wanashinda insta...wanapataje habari motomoto sasa
Anayetoa bima bila kufata yanayotakiwa basi ni mburulaz. Maneno tumezoea juu ya D so sio kitu cha kwanza maji kutofata mwelekeo wake na kutafuta pakukonea kupita
Hivyo haimaanishi pale ni mkondo wa maji.
Ah hapo ndio unanimalizaaaa siwajuiiiii! tukutane pande ilee
Subirini basi siku akiingia maeneo mnayopenda kama Masaki, Obay tutawasikia siku hiyo
Anayetoa bima bila kufata yanayotakiwa basi ni mburulaz. Maneno tumezoea juu ya D so sio kitu cha kwanza maji kutofata mwelekeo wake na kutafuta pakukonea kupita
Hivyo haimaanishi pale ni mkondo wa maji.
Hana uwezo hata wa kununua kiwanja Masaki apartment zipo kibao zinauzwa Masaki uwezo huo anao.
Hana uwezo hata wa kununua kiwanja Masaki apartment zipo kibao zinauzwa Masaki uwezo huo anao.
Wewe mahaba ya D yamekupofua macho hata picha huoni.
Unaambiwa hilo eneo ni mkondo wa maji na domo alibugi kujenga eneo lile.Sio maji yanatafuta pa kutokea bali ile ndio njia yake.
Wakati mwingine ni bora kuubali ukweli bila kupindisha.
Una elimu yoyote ya mambo ya bima? Maana utachekesha hata walionuna.
Nakuuliza tena una ufahamu wowote wa insurance policy? Au unadhani JF ni kijiwe cha machangu?
Nakuuliza tena una ufahamu wowote wa insurance policy? Au unadhani JF ni kijiwe cha machangu?
Nakuuliza tena una ufahamu wowote wa insurance policy? Au unadhani JF ni kijiwe cha machangu?
Namsubiri ivan amfadhili king amuwekee fanicha ndanii sio fanicha zile aisee
Acha ubwege wewe hata sisi wa Dar tunasoma kama wewe kwenye social media, nani mwenye muda mchafu wa kwenda nyumbani kwa mtu?
Mi huwa najiuliza hivi ile ally kiba aliyoonyesha ni nyumba au sehemu iliyotumiwa kunyongea wafungwa enzi za kale... Maana ipo kama gofu