Kumekuwa na threads nyingi zinazoonyesha kwamba Mafuru anawekewa njia kuwa CEO wa shirika moja la Umma. Ninachofahamu ni kwamba kama mkuu wa masoko wa Vodacom tulitarajia kuona amefanya kazi nzuri katika ushindani huu wa Mobile services Operators.
Performance ya Vodacom imekuwa ikidorora kutoka mwaka hadi mwaka. Na yafuatayo na matokeo ya Vodacom kwa miaka mitatu kwa faida kabla ya kodi.
Mwaka unaoishia:
31.03.2008 = Shs 54 billion
31.03.2009 = Shs 55 billion
31.03.210= hasara 9 billion
Mafuru ameshindwa kuweka mikakati mahususi ya masoko kuiwezesha vodacom ku- compete na tigO na Zain. Nadhani ameanza kujipendekeza kwa JK ili ahamie kwenye siasa maana pale alipo amekalia kuti kavu.
Kwa kweli hawezi kuleta Tija. Nadhani jambo la msingi ni kwamba akaajiriwe na H Lundega aendelee kumsaidia kusaka vidosho wa miss tz mitaani, namaanisha wale mabinti wanaopenda kuanika mapaja yao nje.