Sifahamu uweleo wa Mafuru kwenye kuongoza kampuni ambayo iko kwenye comma kama TTCL. Lakini nitachallenge wale wote ambao watasema kwamba jamaa hana vigezo sababu tuu ametoka Vodacom.
Swala kubwa ni moja tuu, jee jamaa ana njia gani za kuoka kampuni yenye decline revenue, with old technology and super high OPEX? Cash Flow ya TTCL ni msiba, high burden ya Labor Cost with benefit plans ambazo TTCL inachangia.
Unaweza kuleta product hata mia kwenye market lakini kama Opex zako zina outnumber revenue then profit margin will always shrink. Sasa bwana Mafuru analipi la kuleta kwenye msiba huu? I will be more than happy kujua.
Sababu kwa nchi kama Tanzania kutoa massive layoff ujue unatafuta ugomvi na watu, na bila kupunguza atleast 30% ya labor expense huwezi kushinda katika soko la ushindani, pili TTCL lazima waliquidate some of assets. Sell it to acquire some cash, then lazima wa develop new technology includes TV, DSL internet and cheap home phone.
Lazima wawekwe strong businss developer kwenye kila revenue unit. Government need to stay away from TTCL. ERP system ni lazima na kuchange organization structure ndio dawa......
I hope TTCL will return, imetusomesha wengine na kutuvisha for many years.