aisee miaka kadhaa nyuma nilijifanya mtaalamu wa mitishamba nkalipaka jaramba hayo mafuta,nlikoma.Hahahaha nasikia ndio tiba ya huko 'Ikulu' lakini.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yanawashaa nini, na ikawaje.aisee miaka kadhaa nyuma nilijifanya mtaalamu wa mitishamba nkalipaka jaramba hayo mafuta,nlikoma.
sijui hata nielezeeje maumivu nliyoyapata ni kama uchanganye ule ubaridi wa mint/menthol + itching + burning sensation,alafu inaingia kwwnte ngozi fasta,hata nliponawa haikusaidia,ilikaa kama robo saa hivi ndo ikapoa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yanawashaa nini, na ikawaje.
kuna sehemu nilikuta mtu anawahamasisha wadada waweke vitunguu saumu 'ikulu' nikasema ama kweli mchawi sio lazima awe na ungo lol.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Aiseeee. .. nimesense maumivu yako.... pole sana. lolsijui hata nielezeeje maumivu nliyoyapata ni kama uchanganye ule ubaridi wa mint/menthol + itching + burning sensation,alafu inaingia kwwnte ngozi fasta,hata nliponawa haikusaidia,ilikaa kama robo saa hivi ndo ikapoa
ahsante rafiki.Aiseeee. .. nimesense maumivu yako.... pole sana. lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
vitunguu swaumu vinatibu bacteria ukeni vinatibu muwasho na harufu mbaya sio mchawi mkuu.kitunguu swaumu ni dawa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yanawashaa nini, na ikawaje.
kuna sehemu nilikuta mtu anawahamasisha wadada waweke vitunguu saumu 'ikulu' nikasema ama kweli mchawi sio lazima awe na ungo lol.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Kama kwa kumeza hapo sawa ila huwezi kuviponda ukaweka direct ukeni.... weeee vitunguu saum vinavyowasha ukaweke huko si patashika nguo kuchanika.... hapo bro Titimunda aliweka mafuta ya karafuu shughuli yake akaiona je mwanamke aweke kitunguu saumu itakuaje. lolvitunguu swaumu vinatibu bacteria ukeni vinatibu muwasho na harufu mbaya sio mchawi mkuu.kitunguu swaumu ni dawa
vinawekwa tu havina shida mkuuKama kwa kumeza hapo sawa ila huwezi kuviponda ukaweka direct ukeni.... weeee vitunguu saum vinavyowasha ukaweke huko si patashika nguo kuchanika.... hapo bro Titimunda aliweka mafuta ya karafuu shughuli yake akaiona je mwanamke aweke kitunguu saumu itakuaje. lol
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Bei zake zikoje ?na yapi yaliyo bora zaidiYako mengi tu Mkuu chaguo ni lako
Machache niyajuayo ni
1.Olive oil (tabia yake huwahi kukauka hivyo lazima umsinge mengi)
2.Rafael Salvador (RF) (Binafsi ndio napendelea haya zaidi)
3.Sweet Almond Oil
4.Apricot kernel oil
5.Jojoba oil
6.Fractionated oil
7.Sesame oil
NB.ya asili napendelea mafuta ya Mnyonyo ni mazuri mno kwa Afya ya misuli japo kero yake mkubwa ni lazima ukisha msinga mwenzio akaoge maana yana nata nata,ila ni mazuri maana yanaondoa kabisa maumivu ya misuli na huteleza vizuri.
Raha ya massage umpate msingaji anayejali na asiye na mpaka ya mwili wako! All the best
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anaetaka haya mafuta na aniagize, nipo zenji but nategemea kwenye tar 25 kuja Dar, huku sio bei kubwa kama Dar, kwenye 3000 tu, wakati Dar yanafika hadi 4000.
Ndio Ninayoyatumia.
Inasemekana eti vinabana uchi, nlisikia mdada anasemavitunguu swaumu vinatibu bacteria ukeni vinatibu muwasho na harufu mbaya sio mchawi mkuu.kitunguu swaumu ni dawa
Havina madhara kweli?japo vinaua bacteri lakin kuwekwa kwa bibi moja kwa moja duInasemekana eti vinabana uchi, nlisikia mdada anasema
Acha uoga jaribu ulete mrejeshoHavina madhara kweli?japo vinaua bacteri lakin kuwekwa kwa bibi moja kwa moja du
Sijui asee huyo dada nlimkuta saloon tuHavina madhara kweli?japo vinaua bacteri lakin kuwekwa kwa bibi moja kwa moja du
Unamletea bure kama zawadi, anakutumia pesa ndio unamletea au ukishaleta ndio anakupa pesa yako???Kwa anaetaka haya mafuta na aniagize, nipo zenji but nategemea kwenye tar 25 kuja Dar, huku sio bei kubwa kama Dar, kwenye 3000 tu, wakati Dar yanafika hadi 4000.
Jamii Forums mobile app
Nielekeze yanapatikana wapi.... mrehani ni mti wenye maajabu sana.... sikujua kama kuna mafuta yake.
Natumia mafuta ya asili,ya mti wa mrehani.
Yana harufu nzuri,malaini,yanatibu misuli na harufu yake inaondoa stress.
Wataalamu naomba tupatiane Maarifa
Je ni mafuta gani ni mazuri kwa kusinga (massage)
Nataka kuyafahamu