Mafuta gani ni mazuri kwaajili ya Body Massage kwa wapenzi?

Mafuta gani ni mazuri kwaajili ya Body Massage kwa wapenzi?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Natumai mu buheri wa afya. Nimeokota dodo la kishua pale Africa Sana. Katika chats za hapa na pale akadai sexual fantasy yake ni body massage kabla ya tendo la ndoa. Kwa kujimwambafy nikajikuta namuambia kuwa hivyo ndo vitu vyangu

Jumapili hii mtoto anatinga Uswazi kumezeshwa Dudukee. Kuhusu namna ya kumassage nimepita pita huko telegram nikapata moja mbili tatu

Tatizo liko kwenye aina ya mafuta ya kumassagia, aina ya maduka yanayouza na bei yake. Hii ni kwa lengo la kuepuka kuandaa mafuta ya Parachute kwa lengo la massage jambo litakalopelekea mtoto wa watu kuhofia kuwa huenda mimi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Yas

Msaada tafadhari
• Aina ya mafuta mazuri hasahasa yawe kitonga
• Aina ya maduka yanayouza
• Bei
 
Natumai mu buheri wa afya. Nimeokota dodo la kishua pale Africa Sana. Katika chats za hapa na pale akadai sexual fantasy yake ni body massage kabla ya tendo la ndoa. Kwa kujimwambafy nikajikuta namuambia kuwa hivyo ndo vitu vyangu

Jumapili hii mtoto anatinga Uswazi kumezeshwa Dudukee. Kuhusu namna ya kumassage nimepita pita huko telegram nikapata moja mbili tatu

Tatizo liko kwenye aina ya mafuta ya kumassagia, aina ya maduka yanayouza na bei yake. Hii ni kwa lengo la kuepuka kuandaa mafuta ya Parachute kwa lengo la massage jambo litakalopelekea mtoto wa watu kuhofia kuwa huenda mimi ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Yas

Msaada tafadhari
• Aina ya mafuta mazuri hasahasa yawe kitonga
• Aina ya maduka yanayouza
• Bei
huo muda wa kupoteza namna hiyo mnautoa wap my friends, ladies and gentlemen?

au ndiko mnajifichia kwasababu ya tatizo la nguvu za kijinsia ndrugu zango?

yaani badala ya kupeleka motro una mbwelambwela sijui na nini huko. hiyo si sawa hata kidogo hasa kwa mwanaume kamili unless ni suruali 🐒
 
huo muda wa kupoteza namna hiyo mnautoa wap my friends, ladies and gentlemen?

au ndiko mnajifichia kwasababu ya tatizo la nguvu za kijinsia ndrugu zango?

yaani badala ya kupeleka motro una mbwelambwela sijui na nini huko. hiyo si sawa hata kidogo hasa kwa mwanaume kamili unless ni suruali 🐒
Hapana mkuu, wanawake wenyewe wamechoka kupelekewa moto, tendo la ndoa limekuwa kama adhabu, ukijumlisha wanawake wetu ni wagumu wa hisia kutokana na matatizo mbalimbali yanayowakidhi kama vile marejesho

Ukimlainisha kidogo, mtajikuta mnaenjoy wote mkuu. Ukurya hautakiwi, pinga ukatili
 
Acha kutuzuga sema unataka mafuta ya nini sio useme ya massage.
Vijana mnapenda sana njia ya Tope siku hizi
Hapana mkuu, siwezi kanyaga matope mkuu. Mimi ni shee! Ndio maana natafuta mafuta special kwa massage maake najua nikiweka kopo la baby care ndani, binti anaeza ishia kwenye kizingiti cha mlango
 
Hapana mkuu, wanawake wenyewe wamechoka kupelekewa moto, tendo la ndoa limekuwa kama adhabu, ukijumlisha wanawake wetu ni wagumu wa hisia kutokana na matatizo mbalimbali yanayowakidhi kama vile marejesho

Ukimlainisha kidogo, mtajikuta mnaenjoy wote mkuu. Ukurya hautakiwi, pinga ukatili
sema man matatizo ya kiafya bana ndrugu zango 🐒
 
Hapana mkuu, huo ni uchafu. Mawese tumuachie Ebitoke. Wakuu tuweni serious basi! Mafuta ya massage ya kupakaa mwilini ndo ninayoyaulizia

Nitajie kajina tu mkuu na bei
Muulize tu huyo mwanamke wako kua,hao wanaume wengine waliokua wanampelekea moto,walikua wakitumia mafuta gani kumfanyia hiyo massage? yeye ndiye mwenye jibu.
 
Back
Top Bottom