thirteen06
Senior Member
- May 17, 2021
- 118
- 100
Habari wapendwa,,
Kati ya vitu ambavyo binadamu analazimika kutumiakila siku Ni mafuta ya kujipaka.
Katika uhitaji huu, wafanyabiashara nao wamekukuwa wakibuni aina mbalimbali za mafuta ya kujipaka na kuyasifia kuwa Ni ya asili yasiyo na athari zozote kwenye ngozi pindi yatumiwapo.
Sasa kwa mwenye ushuda juu ya bidhaa hii muhimu yaani mafuta ya kujipaka yaliyo na chemical kidogo au yasiyo na chemical kabisa atufahamishe tuweze kuyafahamu na tuendelee kuwa salama zaidi.
Kati ya vitu ambavyo binadamu analazimika kutumiakila siku Ni mafuta ya kujipaka.
Katika uhitaji huu, wafanyabiashara nao wamekukuwa wakibuni aina mbalimbali za mafuta ya kujipaka na kuyasifia kuwa Ni ya asili yasiyo na athari zozote kwenye ngozi pindi yatumiwapo.
Sasa kwa mwenye ushuda juu ya bidhaa hii muhimu yaani mafuta ya kujipaka yaliyo na chemical kidogo au yasiyo na chemical kabisa atufahamishe tuweze kuyafahamu na tuendelee kuwa salama zaidi.