Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh!Mwenye ngozi ya mafuta hashauriwi kupaka chochote usoni zaidi ya kusafisha uso wake kwa maji safi na sabuni akiweza apake poda ya watoto.
Au sio!Mmh!
Wacha nifikirie tu hyo ngozi yako sijui itakuwa mwororo kiasi gani.
Ndyo umeamka pindi haliendi nnAu sio!
Dogo acha kuzingua, unadhani wote ni madent kama wewe.Ndyo umeamka pindi haliendi nn
Kesha na mm Leo etii bibiye
Owh sorry pindi la usingizi bana siyo hicho ulichowazaDogo acha kuzingua, unadhani wote ni madent kama wewe.
Avatar Na Id Yako Vinaonesha Wew Ni Ke So Jamaa Hana Kosa Muwe Mnaweka Vitu Vya Kupresent Your SexDogo acha kuzingua, unadhani wote ni madent kama wewe.
Nani aliyesema habari za Avatar na Ke na Me hapa,Avatar Na Id Yako Vinaonesha Wew Ni Ke So Jamaa Hana Kosa Muwe Mnaweka Vitu Vya Kupresent Your Sex
Kwa walio sehemu za baridi bila kupaka mafuta si uso utapauka??Mwenye ngozi ya mafuta hashauriwi kupaka chochote usoni zaidi ya kusafisha uso wake kwa maji safi na sabuni akiweza apake poda ya watoto.
ShahawaNaomba msaada tafadhali
Mwenye kujua mafuta mazuri kwa ajili ya kupaka hizi ngozi za mafuta hasa usoni anijulishe tafadhali
Kwa walio sehemu za baridi bila kupaka mafuta si uso utapauka??
Shahawa
Kama sehemu ya baridi apake mafuta ya nazi yale home made.Kwa walio sehemu za baridi bila kupaka mafuta si uso utapauka??
Kama ngozi ina mafuta tayari, bado unahitaji ya ziada?Naomba msaada tafadhali
Mwenye kujua mafuta mazuri kwa ajili ya kupaka hizi ngozi za mafuta hasa usoni anijulishe tafadhali
Usipake chochote ila osha uso wako vizuri na maji na sabuni
Unashindana na joseverest eeeh bae!??Tumia Zaituni