Mafuta gani yanafaa usoni kwa ngozi yenye mafuta?

Mafuta gani yanafaa usoni kwa ngozi yenye mafuta?

Nipo arusha si nta paukaa sanh
dear kama ngozi yako ya mafuta na una uhakika na hilo usipake chochote, huwezi kupauka kwenye baridi kwa sababu tayari una mafuta yako ya asili na nikupe siri sasa, chunusi zinapenda sana kwenye baridi kwa sababu unakua hutoki jasho, sasa yale mafuta yanaganda na kutengeneza chunusi vijipu weeh utafurahi mwenyewe na roho yako.

Kama unahisi huna mafuta basi paka cocoa butter tu ni nzuri, yatalainisha ngozi yako na kukufanya uwe na mvuto wa asili.
 
dear kama ngozi yako ya mafuta na una uhakika na hilo usipake chochote, huwezi kupauka kwenye baridi kwa sababu tayari una mafuta yako ya asili na nikupe siri sasa, chunusi zinapenda sana kwenye baridi kwa sababu unakua hutoki jasho, sasa yale mafuta yanaganda na kutengeneza chunusi vijipu weeh utafurahi mwenyewe na roho yako.

Kama unahisi huna mafuta basi paka cocoa butter tu ni nzuri, yatalainisha ngozi yako na kukufanya uwe na mvuto wa asili.

Asante sana
 
Kama kwel upo Arusha tafuta mafuta flan ya kukamua Ng'ombe..yanatokea Kenya..watu wengi wanaoyajua wanayapenda. Kuna siku nilitoka porini nkaingia saloon flan maeneo ya Ngaramton ya juu kutengeneza uso maana ulikuw umeharibika na mazingira ya porini. Wakanishauri ntumie hayo mafuta.
cf75dcf2ecda6565a5a99d89ae5cf052.jpg
 
Back
Top Bottom