Nilikwenda kufanya kipimo cha ultrasound kwa ajili ya tatizo la uzazi dokta akanipima ini na figo akaniambia kuwa ini lina mafuta. Naomba wenye utaalamu mnieleweshe mwenzenu ini kuwa mafuta kunasababishwa na nini.
Nitumie nini kuondoa hayo mafuta. Huwa sipendelei kula vyakula vyenye mafuta mengi nashangaa hayo mafuta yametoka wapi jamani.
Nitumie nini kuondoa hayo mafuta. Huwa sipendelei kula vyakula vyenye mafuta mengi nashangaa hayo mafuta yametoka wapi jamani.