Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanapatikana wap haya mkuu wengine kaz zetu n hiz ngumu ngumu zimefanya tuwah kuzeekaKamata hiyo bei ni 60,000View attachment 2191984
kuna yale ya kukamua bila kuchemsha nazi, yapi mazuri kati yaliyochemshwa na yale ya bila kuchemshwa
kama hutajali ukimwaga siri hapa jinsi ya kukamua na vifaa vinavyohitajikaMafuta mazuri ya nazi ni yale ambayo hajapita kwenye moto wala kuchemshwa kwa majina mengine yanaitwa extra virgin coconut oil au cold pressed oil na majina mengine….ni mazuri mno mm natengeneza na nayauza hayo mafuta makubwa ya mls 250 ni 10,000 na madogo mls 125 ni 5,000 tu.
Mafuta ya nazi ni mazuri sana, ngozi yangu imekuwa laini, tena mimi napaka MnaraMafuta ya nazi ni kiboko.
Mwaka wa saba huu naendelea kupaka
Kamata hiyo bei ni 60,000View attachment 2191984
Wewe ni mwanaume haya mambo waachie dada zakoHabari Jf,
Wataalamu wa ngozi na vipodozi mnipe maelekezo mazuri hapa.
[emoji841] Jinsia (me) rangi ya ngozi black chocolate, aina ya ngozi ni ya kwaida siyo kavu wala sijawahi kupata chunusi. Mafuta ya aina yoyote napaka bila kuona athari yoyote kwenye nyozi, kifupi ngozi yangu inahimili vingi.
Kutokana na kukosa matunzo weusi wangu unakuwa mpauko, nataka niwe na weusi wa kuteleza na unaong'aa (sitaki weupe). Ni aina gani ya lotion/mafuta/serum ninayktakiwa kutumia ili kufika lengo langu.
Ukinipa na tips nyingine namna ya kutunza rangi yangu kwa vitu natural nitafurahi zaidi.
[emoji840] Mkalia nyongo wangu rangi yake ya ngozi ni maji ya kunde iliyofifia, anapenda ing'ae siyo kujichubu (skin bleech). Atumie lotion/mafuta/serum gani ngozi ibaki asili na siyo awe mwekundu km nyanya. Aina yake ya ngozi ni ya kwaida mkipendekeza mnipe na bei kabisa ya hivo vitu.
kama hutajali ukimwaga siri hapa jinsi ya kukamua na vifaa vinavyohitajika
Kamata hiyo bei ni 60,000View attachment 2191984
Inachubua hii3 days
Intense flair 15000 tu utakuja niambia
Kama hutak kuchubuka don't tryaffordable
Ameongea kwa pozi sana... hahahah..😃😃😃 Vaseline cocoa glow naona itawatosha
Bei ni buku 6 tu
NaniiiAmeongea kwa pozi sana... hahahah..