Mafuta/lotion nzuri kwamwanaume

Mafuta/lotion nzuri kwamwanaume

flulanga

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2016
Posts
4,860
Reaction score
6,390
Huwa natumia lotion inaitwa rubby ila nahitaji kubadilisha, mimi ngozi yangu kama inamafutamafuta japo sio sanaaa. Nahitaji lotion ambayo itanisaidia kuniondolea vidude flani vyeupe vinatokeaga puani, nakwenye mashavu kama vilishawahi kukutokea naamini utavitambua. Kwayoyote anayetambua lotion nzuri anaweza niambia, karibuni

NB. Me nimwanaume
 
Akifata huu ushauri hakika atafanikiwa
Mtoa mada itakuwa ana asili ya Congo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Huwa natumia lotion inaitwa rubby ila nahitaji kubadilisha, mimi ngozi yangu kama inamafutamafuta japo sio sanaaa. Nahitaji lotion ambayo itanisaidia kuniondolea vidude flani vyeupe vinatokeaga puani, nakwenye mashavu kama vilishawahi kukutokea naamini utavitambua. Kwayoyote anayetambua lotion nzuri anaweza niambia, karibuni

NB. Me nimwanaume
Tumia Nivea ni nzuri.
 
tumia movit lemon body cream ni nzur kwa ngozi yenye mafuta
 
Nivea ya kenya, kopo la blue is the best.
 
Mimi situmii Lotion ila natumia Vaseline Petroleum Jelly, ni mafuta mazuri ya mgando kwa wanaume.
 
Mkuu tupia picha ya kopo lake.
FYI
1559564553127.jpeg
 
Back
Top Bottom