Mafuta mazuri kwa ngozi ya mafuta

Mafuta mazuri kwa ngozi ya mafuta

Unachokitafuta hakipo na hakijawahi kuwepo.
Fahamu tu, mafuta yote ni kemikali, hakuna mafuta yasiyo na kemikali.

Pili kama ngozi yako ina mafuta ya kutosha maana yake huitaji tena kuhangaika sana kutafuta mafuta ya kupaka, maana ngozi yako inajitolesheza kwa mafuta!

Mafuta yoyote yale yanayoweza kuifanya ngozi yako kuwa nyororo zaidi ya jinsi ilivyo sasa au zaidi ya vile mafuta mengine ya kawaida yanavyoweza kuifanya, hayo sio mafuta bali hicho ni kipodozi chenye kiambata cha kuchubua ngozi!

Mafuta bora zaidi kwa ngozi ni mafuta ya kupikia, mafuta ya nazi, mafuta ya mzaituni au mafuta ya kawaida ya kupaka yanayopatikana kwenye jamii nzima (kama vaseline nk) au yanayofaa kupakwa watoto wadogo.

Note
Usijidanganye kabisa kuwa wauzaji wa maduka ya vipodozi na mafuta mbalimbali wana ufahamu bora wa mafuta bora ya kukufaa wewe, wako pale kufanya biashara zaidi na lazima watakuuzia kile wanachokiuza kwa faida na kile chenye kukufanya uendelee kuja kukinunua (cosmetic addiction)
Hayo mafuta uliyotaja hapo,ya nazi na mzeituni yapo katika kundi linaitwa 'decomedogenic'(they cloge pores)yaani yanaziba vitundu vya ngozi na hivyo kuleta chunusi tena zaidi kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta hivyo hayafai,mtu mwenye ngozi ya mafuta anapaswa atumie mafuta ambayo ni non greasy/oil free(hayana mafuta)au atumie moisturiser ambayo ni water based tu kwa ajili ya kutunza unyevu wa ngozi.

Vaseline imetengenezwa na petroleum na wanasema ni non comedogenic(hayazibi vitundu)ni kweli lakini ni mazito mno kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta na hivyo yanaweza kuleta chunusi pia labda awe na ngozi mchanganyiko ila sio ya mafuta hasa ambao hupata chunusi kirahisi.

Nakubaliana na wewe wauzaji wengi wa vipodozi hawana uelewa wa bidhaa kuendana na ngozi za watu,wao ni kuuza tu product hasa mpya akiona mteja fulani ilimkubali basi na wewe ukiwa na chunusi atakwambia chukua hii fulani ilimsaidia bila kujua ngozi zinatofautiana ndio maana wanawake wanamaliza sana hela kwenye vipodozi maana ananunua bidhaa anajaribu inamkatalia anatafuta nyingine mpaka abahatishe iliyo sahihi.

Labda kwenye miji mikubwa maduka kama S.H Amon ndio unakuta wana wataalamu wa ushauri wa ngozi.
 
Hayo mafuta uliyotaja hapo,ya nazi na mzeituni yapo katika kundi linaitwa 'decomedogenic'(they cloge pores)yaani yanaziba vitundu vya ngozi na hivyo kuleta chunusi tena zaidi kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta hivyo hayafai,mtu mwenye ngozi ya mafuta anapaswa atumie mafuta ambayo ni non greasy/oil free(hayana mafuta)au atumie moisturiser ambayo ni water based tu kwa ajili ya kutunza unyevu wa ngozi.

Vaseline imetengenezwa na petroleum na wanasema ni non comedogenic(hayazibi vitundu)ni kweli lakini ni mazito mno kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta na hivyo yanaweza kuleta chunusi pia labda awe na ngozi mchanganyiko ila sio ya mafuta hasa ambao hupata chunusi kirahisi.

Nakubaliana na wewe wauzaji wengi wa vipodozi hawana uelewa wa bidhaa kuendana na ngozi za watu,wao ni kuuza tu product hasa mpya akiona mteja fulani ilimkubali basi na wewe ukiwa na chunusi atakwambia chukua hii fulani ilimsaidia bila kujua ngozi zinatofautiana ndio maana wanawake wanamaliza sana hela kwenye vipodozi maana ananunua bidhaa anajaribu inamkatalia anatafuta nyingine mpaka abahatishe iliyo sahihi.

Labda kwenye miji mikubwa maduka kama S.H Amon ndio unakuta wana wataalamu wa ushauri wa ngozi.
Asante kwa elimu mkuu, kwahyo kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta ni mafuta gani mazuri ya kutumia?
 
Asante kwa elimu mkuu, kwahyo kwa mtu mwenye ngozi ya mafuta ni mafuta gani mazuri ya kutumia?

d1a43a08-7c7f-42e3-80c6-3987545ee1fa.jpg

Kama una acces na huu mzigo kamwe hautojutia


Or upate oil ya tea tree pia
 
Habari zenu wapendwa.

Nimekua nikihangaika nipake mafuta gani usoni yasiyo na kemikali nakosa jibu. Uso wangu Mimi una mafuta rangi yangu ni brown.

Kwa ambaye ana ngozi na rangi Kama yangu akatumia kitu kikamfanya awe soft aniambie na Mimi nijaribu.

Sitaki kubadili rangi nataka niwe soft.
Msaada please.

Nawatakia Eid njema.
Nunua serum kojic.......uchanganye kweny lotion ya usoni yyte iloandikwa brightening. Isiwe na cocoa au parachichi
 
Imeandikwa suitable for all skin types,Je kwa ngozi ya mafuta ni mazuri?
Bei yake ni kiasi gani?
Yanapatikana wapi?

All skin type yanafaa kwa ngozi aina zote

Origin ni South Africa


Kwa Tanzania yapo maduka ya Vipodoz

Kariakoo utapata @kariakoovipodozi

22,000/=
 
Habari zenu wapendwa.

Nimekua nikihangaika nipake mafuta gani usoni yasiyo na kemikali nakosa jibu. Uso wangu Mimi una mafuta rangi yangu ni brown.

Kwa ambaye ana ngozi na rangi Kama yangu akatumia kitu kikamfanya awe soft aniambie na Mimi nijaribu.

Sitaki kubadili rangi nataka niwe soft.
Msaada please.

Nawatakia Eid njema.
Una Chura? Ukiachana na Uso. Shape yako Ikoje?
 
Kwanza unajuaje kama ngozi Yako inamafuta au Haina mafuta
 
Back
Top Bottom