Mafuta mazuri ya kiume

Mafuta mazuri ya kiume

Yaan sie Wabongo tunajishusha sana hamnazo,yaani unakuta mtu kaulizia kitu kwa manufaa fulani lakin hayo majibu anayopat hayaendani na swali lako.

Sasa mwenzetu kauliza juu ya mafuta ila jibu analopewa ni aibu kwa wale waelewa.
Eti samli,mawese. Je unajisikia vipi unapotoa majibu km hayo, hauoni hata aibu? Hauoni kuwa tunakuweka ktk kundi la wale waliofanya mtihani badala ya kujibu maswali walichora catoon????
 
Poa kabisa, lakini ongea polepole wasije sikia watu humu.....[emoji13] [emoji13]
Maana hawachelewi kutuanzishia threads......[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] basi tunyamaze[emoji40] [emoji40]
 
Me ninazo lotions za kiume na za kike. Karibu tuwasiliane nikuonyeshe ukipenda utanambia nikuuzie, ntakuuzia kulingana na aina ya ngozi yako... 0672416194... Karibu
 
Back
Top Bottom