mafuta na vinywaji.

mafuta na vinywaji.

Joined
Jun 4, 2013
Posts
13
Reaction score
1
Salaam,
Najitoke kwa awamu nyingine katika jukwaa kuuliza vitu vifuatavyo:-
1. MAFUTA:
JF Doctors, tafadha naomba kufahamiswa kuwa nimafuta ya aina gani ni sahihi kutumika kwaajili ya kumtomasia (for romance purpose) mwanamke pale mwanaume anapokuwa akimuanda mwanamke kwaajili ya tendo la ndoa? Na pale mafuta hayo yanakuwa yanapakwa katika mwili wa mwanamke na ukeni mwa mwananke wakat mwanaume anapokuwa akimuandaa mwanamke kwaajili ya tendo hilo, nini faida yake hasa au yana umuhimu gani katika tendo la ndoa? Na je hayawezi kumletea mwanamama madhara pale yanapopakwa ukeni?
2. VINYWAJI:
Simaanishi ulevi tafadhali, emu naomba mnielimishe katika hili JF Doctors, je kuna ukweli wowote katika kauli hiz ninazokuwa nikisikia mitaani? Kuwa "KUNA VINYWAJI au MIVINYO AMBAYO IKITUMIWA NA MWANAUME BASI UMFANYA AWE NA NGUVU ZA KATIKA TENDO LA NDOA" pia nikasikia kuwa "KUNA VINYWAJI AMBAVYO VIKITUMIWA WAKATI WA MAANDALIZI YA TENDO LA NDOA BASI UWAFANYA WANANDOA WANYEGEHEKE HARA ZAIDI", je kunaukweli katika kauli hizi?!
 
Umeoa au unataka ueleweshwe halafu ugegede wake za watu?
 
Thank you for your nonsense answer towards my questions Mr. Stephot. But that might be your all views towards my questions topic, and I cannot overcome your opinions, because I do belive that "You can capture the commander-in-chief of three armies, but you cannot overcome a private man's will." Anyway Mr. Stephot, really that might be the limit of your knowledge towards my questions topic. So siwezi kukushangaa sana broo, ila napenda kukwambia kuwa "The way you see the world is the way the world sees you."
So izo tabia unazo zisema juu yangu bilashaka unazo wewe. Mie nimeuliza ili nielimishwa na siko kimtizamo kizinzi. You have to note me well dear brother!
 
Back
Top Bottom