Mafuta pure 100% ya parachichi

Huo ujazo wa bidhaa katika tangazo lako haueleweki!

Yaani mls 100 kwa elf 10!

Nadhani ulikuwa unamaanisha vinginevyo.

Kama itakuwa sahihi, kwanini lt1 iuzwe kwa Tshs 8,000/-, wakati ml100 ni sawa na 1/10 ya lita?

Uwe serious uwapo kwenye marketing basi buana!
 
Halafu mbona ni meusi kama oil chafu? Nyie vijana wa tz mnakuwa wahuni sana siku hizi unaweza ukauziwa mafuta ya chips yaliyoungulia hivi hivi unaona halafu unaambiwa ni mafuta ya parachichi.
 
So Kuna tofauti gani ya kununua avocado ukachanganya hata na asali ukachanganya ukawa unajipaka.

Pia why unashauri twende against na nuture yaani kuwa mti ama mnyama utumie madawa fulani ili uzeeke. By nature tumezaliwa na lazima tutakufa it's inescapable. Let us leave nature ifanye kazi ama wewe unashauri kuwa tuzidi kubakia kijana ili tuule vizuri ama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…