Hello wapendwa,
Kutokana na changamoto za hapa na pale nmeamua kujihusisha na biashara ya kuuza mafuta ya alizeti. Hali ni ngumu jamani unaweza tamani kujiuza. Ila nimeona kuliko nifikie huko ni bora nitafute rikizi. Nauza elf 30 dumu la lita 5. Ni mazuri kabisa.
Mwenye uhitaji anipm nakuletea ulipo kama mbali tutajadili usafiri. Nawapenda!!
Napatikana Dar es Salaam, Sinza mori.
Kutokana na changamoto za hapa na pale nmeamua kujihusisha na biashara ya kuuza mafuta ya alizeti. Hali ni ngumu jamani unaweza tamani kujiuza. Ila nimeona kuliko nifikie huko ni bora nitafute rikizi. Nauza elf 30 dumu la lita 5. Ni mazuri kabisa.
Mwenye uhitaji anipm nakuletea ulipo kama mbali tutajadili usafiri. Nawapenda!!
Napatikana Dar es Salaam, Sinza mori.