Mafuta ya kukuza nywele

Mafuta ya kukuza nywele

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
27,031
Reaction score
49,928
Naombeni msaada wa steaming nzuri ya kupaka kwenye nywele na kuacha bila kuosha sitaki hizi za kuosha, anaejua steaming ya kuacha kwenye nywele naombeni jina lake ninunue.

Asanteni
 
Kwa kuongezea mimi natafuta mafuta mazuri yanayoweza kuzuia nywele kukatika, in short mimi nipo na afro ila sio kama la mh.majaliwa, tatizo kila nikizichana lazima nitoke na nywele tano hadi kumi iviii, so msaada tafathali.
 
Kwa kuongezea mimi natafuta mafuta mazuri yanayoweza kuzuia nywele kukatika, in short mimi nipo na afro ila sio kama la mh.majaliwa, tatizo kila nikizichana lazima nitoke na nywele tano hadi kumi iviii, so msaada tafathali.
paka morgan au dax na mafuta ya nazi
 
Naombeni msaada wa steaming nzuri ya kupaka kwenye nywele na kuacha bila kuosha sitaki hizi za kuosha, anaejua steaming ya kuacha kwenye nywele naombeni jina lake ninunue.

Asanteni

x1386245_1386245__11876_std.png.pagespeed.ic.HMcGwEojZS.jpg
 
Missy, wakikuosha na ku condition hawakuweki leave-in conditioner kabla ya kuzi dry?
Hiyo ni muhimu na pia unaweza kuongezea hot oil treatment.
 
KARIBUN KWA BIDHAA BORA ZA NYWELE TOKA ORIFLAME
Kuna
1) HAIRX ADVANCED
Hii inajaza nywele kuzifanya ziwe nene ndani ya miez 3 ina product 3 nazo ni shampoo,scalp tonic na hair amplifier
2) HAIRX VOLUME BOOST
hii kuna shampoo na conditioner
3) HAIRX RESTORE THERAPY
Hii ina product 4
Shampoo,conditioner,hair mask na hair restore therapy split ends serum ambazo kwa pamoja zinatibu nywele zinazokatika na kuzuia zisiendelee kukatia,kuziimarisha kuzifanya zenye afya na zenye mngao
 
Back
Top Bottom