Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
inategemea na aina ya mafuta, hiyo ni bei ya Sundrop, hiyo elf 6 labda ni safi na mengine sijui safi au masafiSasa huku sisi mbona tunanunua lita moja kwa 6000, tena rejareja hiyo kwa mangi!!
Mbona chips zimepanda bei pia?Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Vilipanda,na chips zimepanda!Kwani viazi navyo vimepanda bei? [emoji2377][emoji2377][emoji2377]
Wamepunguza kipimo bro. ni bei ile ile ila unapata nusuWapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Lita 1,6500/7000..kwa IringaJana nilikuwa mlimani mafuta ya alizeti lita kumi nimeona 98000
Kitimoto kinajikaanga na mafuta yake enyewe bro
Chukuchuku tu watu wapikegeIpo haja ya kuja na mbadala wa mafuta ya kupikia
Msituogopeshe aisee, nasikia mbagala Lita buku tuu.wasitumie mafuta ya ovyo ovyo, watukaangie na mafuta ya....[emoji200][emoji200][emoji200]
Hakuna nafuu yoyote. Hata hizo kidogo zinapikiwa mafuta ya nguruweWanaweza wasiongeze bei ila wakapunguza kiasi cha chipsi wanachouza kwa sahani
Wamepunguza wingi,chunguza utaliona hiliWapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290