Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA

View attachment 2157290
Mbona chips zimepanda bei pia?
We mwenetu wapi huko ambako bei ni ileile?
 
Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA

View attachment 2157290
Wamepunguza kipimo bro. ni bei ile ile ila unapata nusu
 
Moshi sehemu nyingi chips wanakaangia mafuta ya nguruwe...kuanzia kcmc yote ile mpaka rau madukani..shuka ymca mpaka kibororoni..yote hiyo ni nguruwe tupu...chips kavu iliyokaangiwa mafuta ya nguruwe inapenda ule hapohapo..ukisema uiweke utakula kesho inakuwa lainii kama vile viazi vilichemshwa😂😂😂😂
 
Mafuta ya Nguruwe na transfoma yamekua Mkombozi wa wengi

images - 2022-03-27T084109.923.jpeg
 
Ipo haja ya kuja na mbadala wa mafuta ya kupikia. Tushachoka mamahe
 
Back
Top Bottom