Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

Mafuta ya kupikia bei juu, Chips bei ile ile!

Sababu ni moja wafanyabiashara wanatembea nayo "vita ya Ukraine na Russia...........".Hamna mistake moja aliyofanya bi mkubwa kama kusema, vitu vitaongezeka sababu ya vita Russia na Ukraine. Bora angekaza baadae wafanyabiashara wangelalamika, wangeomba majadiliano sasa hapo serikali ingeenda ku- bargain nao bei nzuri,yaani siku ile alivyo ongea kesho yake vitu vingi vilipanda bei.
 
Hili suala nilishawaonya washkaji!

Haiwezekani mafuta yamepanda bei lakini bei ya chipsi ni ile ile.

Ila nilifanya kautafiti kidogo. Kwa sasa chipsi zinababuliwa, haziwi na mafuta mengi.

Pia, wanatumia mafuta machafu. Kazi ikifungwa, mafuta yanatunzwa kwenye kile chombo cha kila siku.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA

View attachment 2157290

Sasa hivi tunatumia mafuta ya nguruwe; yale hayaishi; yanaongezeka tu ukiweka

Tafiti kwenye wanapochinja nguruwe utapata majibu yote
 
Wapenda chips mnalishwa Sumu bila kupenda, haiwezekani mafuta ndoo ya 10ltrs iuzwe 75,000 TZS kutoka 38,000 TZS (ongezeko karibia 100%) Ila chips mtaani Bei Ile Ile. Wafanyabiashara hao wamejiongeza Kwa gharama za mlaji. STUKA
View attachment 2157290
Wauza chips faida hutokana na viazi. Wangekuwa wanapima viazi kwa mizani ndio ungeona uhalisia wa wanachokuuzia. Ni kiasi cha kupiga panga kile kisahani wanchopimia na hautaona au kugundua. Zikikaa na mapengo yake utaona ni vingi kumbe sio.kazi iendelee vijana wapate ajira, wapate mlo wenye protinj nyingi SIO UGALI WA SEMBE.
 
Nashangaa hata vitumbua vya siku hizi wanaloweka kwenye mafuta kabisa.
 
Huko America watu wanatumia mafuta ya kupikia kwenye magari kwa kuwa petrol imepanda bei!
 
Alaf Muuza chips mwenye akil timam ile kazi inamlipa sana huwa wanashusha mijengo ya maana hata hiyo bei ya mafuta Wala siyo hasara kwao maana faida ni kubwa
 
Back
Top Bottom