Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kiafya sio powawatu siku hizi wananunua karanga wanatwanga kwa kinu na kuungia mboga ....kisamvuuu...jani boga...tembele etc
ama unanunua nyama unamwambia muuzaji aweke nyongeza ya futa kisha ukifika nyumbani unayeyusha futa na kulitumia kaangia vitu
Sasa si bora futa la ng’ombe kuliko hayo ya KorieIla kiafya sio powa
Kazi ya mama wa kizanzibari iendelee. Kuongoza nchi ni tofauti na kurushiana vijembe vya kiswahiliView attachment 2116179
Nchi hii Ishakuwa shamba la bibi,ukipata fursa piga tuuuu...hakuna mzalendo tena,kila mtu anaangalia urefu wa kamba yake
Sio poa kivipiIla kiafya sio powa
Wiki iliyopita nilinunua kwa 87,000/ inatakiwa yagike hata kwa 200,000/ maana CHADEMA walituchelewesha Sana kupata maendeleo.Kazi ya mama wa kizanzibari iendelee. Kuongoza nchi ni tofauti na kurushiana vijembe vya kiswahili