Mafuta ya kupikia yazidi laki 1

Mafuta ya kupikia yazidi laki 1

watu siku hizi wananunua karanga wanatwanga kwa kinu na kuungia mboga ....kisamvuuu...jani boga...tembele etc

ama unanunua nyama unamwambia muuzaji aweke nyongeza ya futa kisha ukifika nyumbani unayeyusha futa na kulitumia kaangia vitu
Kitimoto inamafuta ya ziada na mazuri kwa vitumbua na kukaangia samaki na kupikia pilau.
 
View attachment 2116179
Nchi hii Ishakuwa shamba la bibi,ukipata fursa piga tuuuu...hakuna mzalendo tena,kila mtu anaangalia urefu wa kamba yake

A3B7A0BE-F2CA-4B73-90E6-62AC38140F70.jpeg
 
Back
Top Bottom