Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Ndo hapo nashangaa...mtu akienjoy kidogo anaulizwa umejenga?.....Hivi lengo la maisha ni kujenga tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hapo nashangaa...mtu akienjoy kidogo anaulizwa umejenga?.....Hivi lengo la maisha ni kujenga tu?
K maana yake ni Kilo yaani 1000,hivi K mwisho wa tarakimu ya pesa ya kitanzania ina maanisha Sh ngap naona 40k,50k ,250k, ni Kenyan Shilling au ?
Msaada Jamani ili nielewe tu
wote tukijenga itakua shida lolsNdo hapo nashangaa...mtu akienjoy kidogo anaulizwa umejenga?.....
Hata zikikatwa bado zina gharama wewe.Sasa hiv wanazikata stlye ya Afro na Lowcut chezea usawa wa Magufuli huu mbwembwe zote zinaisha
Ndio nimebaki kukodoa.mkuu 40 ni ela kubwa.... kuna watu wananunua weaving hadi 1M.
Kwan kuna ugomvi au ? Take it easy najua unahudumiwa be cool mtotoHata zikikatwa bado zina gharama wewe.
Dogo wapi nimesema kuna ugomvi?Kwan kuna ugomvi au ? Take it easy najua unahudumiwa be cool mtoto
Mafuta ya 40k? mshahara wangu kwa mwezi,nikikuwowa nadhani hatutajenga bali pesa itaishia kwenye mafuta,dah!
Kwa vyovyote vile, Mwanaume akisoma comments za hawa Wanawake humu ndani lazima apate BRAIN HAEMORHAGE. A lot of money directed into the hell???....Magufuli tunyooshe Baba!!!!
mkuu wkend yangu itaenda kama ifuatavyojamani 14/15 ndio shilingi ngapi hizo?
Wewe sio maskini 20k unaikata kwa matumizi ambayo ingeweza kuitumiamkuu wkend yangu itaenda kama ifuatavyo
kusuka 25,000
kutengeneza kucha 5,000
lotion na sabuni 65,000
pedi35000
viatu 35000
kagauni kamoja maana ni mwisho wa mwezi 50,000
ni sh ngapi hizo mkuu?
na mimi ni maskini kabisa ndi katika wanawake tunaoishi maisha ya hali ya chini.
saluni kuna watu wanatoa hadi milioni
nywele gani za buku mkuu?Wewe sio maskini 20k unaikata kwa matumizi ambayo ingeweza kuitumia
Kusuka 1000
Kucha umekata mwenyewe
Lotion 1200
Sabuni 150 ya magadi
Pezi 1500
Nywele tatunywele gani za buku mkuu?
1.Kusuka poa.mkuu wkend yangu itaenda kama ifuatavyo
kusuka 25,000
kutengeneza kucha 5,000
lotion na sabuni 65,000
pedi35000
viatu 35000
kagauni kamoja maana ni mwisho wa mwezi 50,000
ni sh ngapi hizo mkuu?
na mimi ni maskini kabisa ndi katika wanawake tunaoishi maisha ya hali ya chini.
saluni kuna watu wanatoa hadi milioni
pedi nimesema 3500 mkuu,lotion situmii mchina inatoka uk direct sitaki mkorogo wa mchina mie halafu mwezi ujao sitanunua .1.Kusuka poa.
2.Kucha za 5000? mh?
3.Lotion na sabuni kubwa mno...ingekuwa walau 45k
4.Pedi za 35k kwa wiki? unabld kila siku?(maana umesema weekend)
5.Viatu bei nzuri.
6.Gauni la 50k kwa mwisho wa mwezi siyo mbaya.
7.Tuma # ya Mpesa na utaratibu wa posa....sitaki mchezo mimi🙁🙁🙁🙁🙁🙁
Dah! umeeleweka sana, ingawa post niliyoinukuu inasema ni 35k.Hata hivyo siyo mbaya.pedi nimesema 3500 mkuu,lotion situmii mchina inatoka uk direct sitaki mkorogo wa mchina mie halafu mwezi ujao sitanunua .
Hahahhaahha labda twende kilioni nazo ni tano tu.nywele gani za buku mkuu?
Mijitu mingine bhana sjui ime umbwaje!!!! Mtu kauliza jina la mafuta pamoja na bei yaku tengeneza rough dread. Mtu hujui vyote bado unachangia ku complain kuhus bei ya bidhaa kama huna si utulie kaambali yan topoc ina kua na wachangiaj wengi alafu majibu machache watanzania wenzangu tuji funze ustarabu.
Please mim nina shida ya mafuta mazuri yakutengeneza rough dread anaejua naomba anifahamishe
Natumia cantu kwa sasa.. hizo ndio product zangu natumia kwa nywele ingawa sasa sina rough dreads ni natural tu.
So jaribu Cantu pia...
View attachment 1196834