Mafuta ya Petrol na Diesel yameenza kuadimika tena nchini

Mafuta ya Petrol na Diesel yameenza kuadimika tena nchini

Bora tuchangamshe bongo zetu tuje na magari ya KUTUMIA maji.
Kuna mjapani alikuja na teknolojia ya kutengenisha Hydrogen na Oxygen kwenye maji ili kimojawapo kitumike kama nishati sijui aliishia wapi na akaja mTanzania mmoja akasema anaweza kuendesha mitambo yote kwa kutumia hewa ya Oxygen tunayovuta ili kutoa nishati naona mamlaka alizoziomba ufadhili zilimkaushia
 
Kuna mjapani alikuja na teknolojia ya kutengenisha Hydrogen na Oxygen kwenye maji ili kimojawapo kitumike kama nishati sijui aliishia wapi na akaja mTanzania mmoja akasema anaweza kuendesha mitambo yote kwa kutumia hewa ya Oxygen tunayovuta ili kutoa nishati naona mamlaka alizoziomba ufadhili zilimkaushia
Link ya habara ya huyo mjapan. Au chanzo cha habari juu ya ugunduzi wa huyo mjapan tafadhali
 
Inavyoonekana vigogo wa chama cha mambuzi na serikali ndo wahusika hasa wa biashara ya mafuta, Nyerere hakuwa mjinga kuweka mwiko watumishi wa umma kuwa wafanyabiashara.
 
Wanajamvi

Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi

Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu kweli sheli yameanza

Inasiktikisha sana kuona wananchi wakiteseka namna hii na serikali tushindwa kutatua tatizo hilo

Kila mwisho wa mwezi inatokea upungufu mkubwa sana wa mafuta na hili linafanyika ili kusubiri beimpya zinazotangazwa kila mwanzo wa mwezi

---
View attachment 2764016

Wananchi wa Urambo mkoani Tabora wakiwa wamepanga foleni kusubiri huduma ya kuuziwa mafuta asubuhi ya leo Jumatano, Septemba 27, 2023 katika moja ya kituo cha mafuta katikati ya mji huo.

Kwa mujibu wa wakazi, foleni ya mafuta Urambo ni tatizo sugu lililodumu kwa takribani miezi mitatu sasa huku ufumbuzi wake ukiwa bado haujajulikana.

Urambo yenye vituo vitatu pekee vya mafuta, petroli inauzwa kwa gharama ya Sh 3,331 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh 3,377.

"Changamoto ya mafuta ni kubwa hapa Urambo, inatuchukua dakika mpaka 45 wakati mwingine kufikia foleni yako ya kujaza mafuta, tunawahi asubuhi angalau foleni ni ndogo. Tuna miezi mitatu sasa hatujui ni lini changamoto hii itakoma," amesema Omary Juma mwendesha gari dogo ya mizigo maarufu 'Kirikuu'.

(Imeandikwa na Herieth Makwetta)

Tuna safari ndefu sana.

Waziri mwenye dhamana yuko busy na wababa na familia zao
 
Wanajamvi

Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi

Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu kweli sheli yameanza

Inasiktikisha sana kuona wananchi wakiteseka namna hii na serikali tushindwa kutatua tatizo hilo

Kila mwisho wa mwezi inatokea upungufu mkubwa sana wa mafuta na hili linafanyika ili kusubiri beimpya zinazotangazwa kila mwanzo wa mwezi

---
View attachment 2764016

Wananchi wa Urambo mkoani Tabora wakiwa wamepanga foleni kusubiri huduma ya kuuziwa mafuta asubuhi ya leo Jumatano, Septemba 27, 2023 katika moja ya kituo cha mafuta katikati ya mji huo.

Kwa mujibu wa wakazi, foleni ya mafuta Urambo ni tatizo sugu lililodumu kwa takribani miezi mitatu sasa huku ufumbuzi wake ukiwa bado haujajulikana.

Urambo yenye vituo vitatu pekee vya mafuta, petroli inauzwa kwa gharama ya Sh 3,331 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh 3,377.

"Changamoto ya mafuta ni kubwa hapa Urambo, inatuchukua dakika mpaka 45 wakati mwingine kufikia foleni yako ya kujaza mafuta, tunawahi asubuhi angalau foleni ni ndogo. Tuna miezi mitatu sasa hatujui ni lini changamoto hii itakoma," amesema Omary Juma mwendesha gari dogo ya mizigo maarufu 'Kirikuu'.

(Imeandikwa na Herieth Makwetta)

Tuna safari ndefu sana.
Safi sana hizi ndiyo habari nataka kusikia
 
IMG_5257.jpg
 
Walidai mwendazake alikuwa katili sana, wakampa na majina ya ajabu ajabu.
Wananchi nao bila kujua ajenda iliyokuwa nyuma yao wakaimba nao pamoja kama kasuku.
Haya ni malipo ya unafiki wetu. Acha watubonde tu, hatuna shukurani
 
Walidai mwendazake alikuwa katili sana, wakampa na majina ya ajabu ajabu.
Wananchi nao bila kujua ajenda iliyokuwa nyuma yao wakaimba nao pamoja kama kasuku.
Haya ni malipo ya unafiki wetu. Acha watubonde tu, hatuna shukurani
Kama kuna kitu tulikosea kama watanzania ni kushindwa kumprotect Rais wetu enzi za uhai kwake kwa gharama yoyote iwe ndumba,maombi nknk sasa tukazubaa wajuaji wakapita nae...TUTAJUTA
 
Back
Top Bottom