joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Tullow woes delay Kenyan oil dream : The Standard
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wingi wa matajiri pia walisema wao ni wengi, hao ni watu wa kupenda sifa usiwaamini hata siku moja. Hahahaha, hahahaha.
Haya mafuta yalienda wapi?Hata wingi wa matajiri pia walisema wao ni wengi, hao ni watu wa kupenda sifa usiwaamini hata siku moja. Hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuwatafuteHaya mafuta yalienda wapi?
Ujuaji ni Mwingi sana kwa Jirani zetu, na Kibaya zaidi kila kitu watalinganisha na aidha Tanzania ili tujione dhaifu au a USA ili waonekana kwamba wako juu kama USA.Shida kubwa kenya sio ukabila ama ufisadi..Shida kubwa ni kupenda sifa, kujimwabafy...Hauwezi jifunza chochote ukiwa na attitude kama hio
Hivi hili tatizo la wakenya kupenda sana kujisifu na kujiona wao ni babukubwa, chimbuko lake ni nini hasa?, kwasababu hili ni sababu kubwa sana ya wakenya kuharibikiwa katika mambo yao mengi sana.Shida kubwa kenya sio ukabila ama ufisadi..Shida kubwa ni kupenda sifa, kujimwabafy...Hauwezi jifunza chochote ukiwa na attitude kama hio
Tulionyeshwa mpaka picha au ilikuwa kuturusha roho tu!Hata wingi wa matajiri pia walisema wao ni wengi, hao ni watu wa kupenda sifa usiwaamini hata siku moja. Hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wangekuwa wanajilinganisha hata na S.A au Nigeria kuliko kujilinganisha Tz [emoji23][emoji23]Ujuaji ni Mwingi sana kwa Jirani zetu, na Kibaya zaidi kila kitu watalinganisha na aidha Tanzania ili tujione dhaifu au a USA ili waonekana kwamba wako juu kama USA.
Japo nawasifia mambo mawili, Rais Wa Kwanza Mweusi kutawala Marekani asili yake Kenya na Pili kwenye riadha duniani wanafanya vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
85% ya wakenya wanahisi Kenya ni bora kuliko USA katika kila eneo, hao wana matatizo ya akili.Wangekuwa wanajilinganisha hata na S.A au Nigeria kuliko kujilinganisha Tz [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya hakuna mafuta yoyote ya ukweli, mafuta yaliyopo Kenya ni ⅛ ya waliyo tangaza nilitaka kuleta Uzi hapa ila kila nikileta Uzi napigwa ban kuwa mm ni muongo baada ya muda ukweli unakuwa wazi mfano nilileta Uzi wa kdf kukimbia kambi tena wakiwa uchi Na kuacha inavamiwa na all shabab na kusababisha wamarekani kupigana pekeyao kujiokoa nikala ban baada ya muda ikaonekana ni kweli ,Tullow woes delay Kenyan oil dream : The Standard
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaa haaa chang'aa inafanya kazi85% ya wakenya wanahisi Kenya ni bora kuliko USA katika kila eneo, hao wana matatizo ya akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chimbuko lake ni ubepariHivi hili tatizo la wakenya kupenda sana kujisifu na kujiona wao ni babukubwa, chimbuko lake ni nini hasa?, kwasababu hili ni sababu kubwa sana ya wakenya kuharibikiwa katika mambo yao mengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya hakuna mafuta yoyote ya ukweli, mafuta yaliyopo Kenya ni ⅛ ya waliyo tangaza nilitaka kuleta Uzi hapa ila kila nikileta Uzi napigwa ban kuwa mm ni muongo baada ya muda ukweli unakuwa wazi mfano nilileta Uzi wa kdf kukimbia kambi tena wakiwa uchi Na kuacha inavamiwa na all shabab na kusababisha wamarekani kupigana pekeyao kujiokoa nikala ban baada ya muda ikaonekana ni kweli ,
Sasa kwenye ili la mafuta kuna siri kubwa kama mtakumbuka kabla ya magufuli kuwa raisi wakenya walitangaza kugundua tanzanite Kenya, lengo lilikuwa kufanikisha wizi wa tanzanite ya tz na hiki ndicho kilicho fanyika kwenye mafuta ya Kenya ili kuibia Uganda mafuta yao ilibidi bomba liunganishwe na la Kenya kisha mabeberu wakishirikiana na serikali ya Kenya wangefanikisha wizi wa mafuta ya Uganda ,watu wataniona muongo Ila niukweli mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
A chana na mafuta maji yenyewe ni kidogo Kenya. Ila kwa mafuta walianza kwa mbwembwe eti truck ya Kwanza iliyo beba mafuta yatinga Mombasa leo shangwe zipo wapiii kimya 😂😂😂Evidence plz
Kwaiyo ni kweli walikuwa wamejiandaa kuiba mafuta ya uganda kama walivyokuwa wamejiandaa kukwapua tanzanite ya Tz?A chana na mafuta maji yenyewe ni kidogo Kenya. Ila kwa mafuta walianza kwa mbwembwe eti truck ya Kwanza iliyo beba mafuta yatinga Mombasa leo shangwe zipo wapiii kimya [emoji23][emoji23][emoji23]
Haswa ,simba akiishiwa hula nyasi sasa jirani hata nyasi hazioni 😁😁😁Kwaiyo ni kweli walikuwa wamejiandaa kuiba mafuta ya uganda kama walivyokuwa wamejiandaa kukwapua tanzanite ya Tz?
Unawakana knight frank kw ripoti zao za mbeleni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata wingi wa matajiri pia walisema wao ni wengi, hao ni watu wa kupenda sifa usiwaamini hata siku moja. Hahahaha, hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waulize wenyewe wakenya ulemgodi wa tanzanite waliokuwa wauzindue na serikali yao umeishia wapi madini ya tanzanite yameyeyuka auEvidence plz