Mafuta ya Turkana bado ni ndoto ya Abumisayo, Tullow yailakamikia serikali kwa ukiritimba.

Mafuta ya Turkana bado ni ndoto ya Abumisayo, Tullow yailakamikia serikali kwa ukiritimba.

Kwaiyo ni kweli walikuwa wamejiandaa kuiba mafuta ya uganda kama walivyokuwa wamejiandaa kukwapua tanzanite ya Tz?
Kwenye swala la mafuta kulikuwa na mabeberu na serikali ya Kenya ila habari ya chini ya kapeti zinasema mabeberu yalitaka nayo kutapeliana ndani kwa ndani hivyo kuonekana njia salama ni kupitishia hayo mafuta tz ,ndiyo maana unaona hadi Leo mabeberu wanasuasua kujenga boma kwa haraka hapa tz

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom