Mafuta yaadimika Songea

Mafuta yaadimika Songea

T2015CCM

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
7,931
Reaction score
987
Kufuatia tangazo la ewura kushusha bei ya mafuta hapa nchini, nishati hiyo imeadimika mkoani ruvuma na kusababisha tatizo la usafiri mkoani humo hususan daladala.hii ni hujuma inayofanywa na wenye vituo vya mafuta ili kuwanyonya wananchi. Sosi ni radio one breaking news.
 
Back
Top Bottom