Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Week hii bei ya mafuta ghafi imeshuka kwa 11% mpaka kufika chini ya $100 kwa pipa.
Sababu kubwa inachangiwa na kushuka Kwa demand ambayo imesababishwa na kuanguka kwa uchumi za nchi nyingi hasa dunia ya kwanza.
Na nyingine, nchi zinachimba mafuta zimekubaliana kuongeza uzalishaji wa mafuta.
Je, huku kwetu bei itashuka kwa kiwango gani?
Sababu kubwa inachangiwa na kushuka Kwa demand ambayo imesababishwa na kuanguka kwa uchumi za nchi nyingi hasa dunia ya kwanza.
Na nyingine, nchi zinachimba mafuta zimekubaliana kuongeza uzalishaji wa mafuta.
Je, huku kwetu bei itashuka kwa kiwango gani?