Magaidi wa ADF wenye mlengo wa Islamic State (IS) wachinja watalii Uganda

Chuki yako itakuja kukuua.na uislam utabaki
 
Yaani kila mtu akianzisha fujo huko.mnasema waislam.
 
Hao Magaidi wa kiislam watakuwa wanajuana na Faizafoxy.
 
Isikusumbue...ukishakuwa na upofu wa moyo chuki juu ya kitu Fulani inakuwa kubwa mpk ukweli wakati mwingine hutaki kabisa kuusikia au kuelewa....mpuuze tu hyu mtu aendelee kubwabwaja...ndo furaha yake....alianza na Russia na Ukraine war kueneza uongo wake sasahivi Hali ya upepo imehamia sehemu nyingine nao anaenda nao...kwhyo acha aropoke akimaliza atapiga kimya
 
Huwezi kusikia upande wa pili wakiwakemea hawa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…