Magaidi ya ADF yakiongozwa na Mtanzania yaingia Uganda

Magaidi ya ADF yakiongozwa na Mtanzania yaingia Uganda

Hapo utakuta njaa ya swaumu inakutesa huku ukitukana balaa, sijawahi kuelewa unafiki wa hiyo dini yenu, kwenye huu mwezi ndio huwa mnatukana mara kumi, mna ushetwani mwingi yaani.

ADF: Lifahamu kundi la waasi kutoka Uganda linaloshirikiana na Islamic State​

Eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kwa muda mrefu limekuwa ngome ya shughuli za waasi ambapo mizozo hiyo husambaa hadi nchi majirani za Rwanda, Burundi na Uganda.
Kati ya makundi yenye sifa mbaya zaidi yanayoendesha shughuli zao huko ni lile la kutoka nchini Uganda la Allied Democratic Forces (ADF).
Kundi hilo la Kiislamu liliundwa miaka ya 1990 na mara nyingi lilihusika na mizozo ya ndani na taifa la Uganda. Lakini baada ya kuibuka nchini DR Congo, shughuli zake zemechukua mkondo wa kundi la jihadi huku mashambulizi yake mengi yakidaiwa kutekekelezwa kwa jina la kundi la Islamic State (IS).
Washambuliaji wa kujitoa mhanga jana Jumanne waliulenga mji mkuu wa Uganda Kampala, na kuua takriban watu sita na kujeruhi wengine zaidi ya 30. IS ilitoa taarifa kwenye kituo chake cha Telegram, kisha kuripotiwa na Shirika lake la Habari la Amaq, ikisema kwamba wanachama wake walifanya mashambulizi hayo.

 
Magaidi ya ADF yenye mlengo wa dini ya kislamu yakiongozwa na Mtanzania Ahamed Muhamood Hasssan, yameingia Uganda, jeshi limetoa tahadhari. Jameni hampumziki kwenye huu mwezi wenu.

============

KAMPALA, March 18 (Xinhua) - The Ugandan military on Monday urged the public to be on alert after intelligence reports showed that a group of Allied Democratic Forces (ADF) fighters had crossed into the country from the neighboring Democratic Republic of the Congo (DRC).

Deo Akiiki, Uganda's deputy military spokesperson, told reporters in the Ugandan capital of Kampala that the rebels crossed into the country two days ago, noting that the group is under instruction from the Tanzanian-born ADF bomb expert Ahamed Muhamood Hasssan, also known as Abu Waqas.

Akiiki urged the public to be vigilant, adding that the ADF still seeks to send terror groups to Uganda, especially urban areas, places of worship, schools, and public gatherings.

He said the military has been put on high alert, and the security forces are highly prepared to protect Ugandans from attacks.

The ADF was responsible for the killing of two tourists at a national park in western Uganda and for the killing of at least 40 people, mostly students, last year, according to the Ugandan military.

Uganda and the Congolese troops in November 2021 launched a military operation dubbed "Operation Shujaa" to wipe out the ADF, after it carried out twin bombings in Kampala that killed six people and injured 33 others

english.news.cn
1710856731711.jpeg
 
Dini ya mudi ndio dini ya hovyo kuliko dini zingine zote

Ni kweli dini ya jessy ndiyo dini kwani mwanamume anaweza kuolewa na mwanamume mwenzake na mwanamke pia akaolewa na mwanamke mwenzake pia mtu anaweza kuolewa au kuoa hata na jibwa , hii ndiyo dini safi kabisa au vipi mkuu ??

1710857161910.jpeg
 
M23 ni waasi, hawajawahi ua mtu raia wa kawaida wao wanapambana na serikali. Hata wakiua kama collateral damage hawaui kwa kutamka Yesu Akbar na wala sio kundi la kidini lile
Kumbe gaidi mpaka atamke Yesu Akbar , hivyo ndivyo alivyokutonya
Roho Mtakatifu wako?
 
Magaidi ya ADF yenye mlengo wa dini ya kislamu yakiongozwa na Mtanzania Ahamed Muhamood Hasssan, yameingia Uganda, jeshi limetoa tahadhari. Jameni hampumziki kwenye huu mwezi wenu.

============

KAMPALA, March 18 (Xinhua) - The Ugandan military on Monday urged the public to be on alert after intelligence reports showed that a group of Allied Democratic Forces (ADF) fighters had crossed into the country from the neighboring Democratic Republic of the Congo (DRC).

Deo Akiiki, Uganda's deputy military spokesperson, told reporters in the Ugandan capital of Kampala that the rebels crossed into the country two days ago, noting that the group is under instruction from the Tanzanian-born ADF bomb expert Ahamed Muhamood Hasssan, also known as Abu Waqas.

Akiiki urged the public to be vigilant, adding that the ADF still seeks to send terror groups to Uganda, especially urban areas, places of worship, schools, and public gatherings.

He said the military has been put on high alert, and the security forces are highly prepared to protect Ugandans from attacks.

The ADF was responsible for the killing of two tourists at a national park in western Uganda and for the killing of at least 40 people, mostly students, last year, according to the Ugandan military.

Uganda and the Congolese troops in November 2021 launched a military operation dubbed "Operation Shujaa" to wipe out the ADF, after it carried out twin bombings in Kampala that killed six people and injured 33 others

english.news.cn
My mind tells me hao jamaa Destination ni Bongoland.

Tuendelee kufichana yanayojiri karibu na mipakani tutaona matokeo ya kutowaandaa nankuwashirikisha wananchi kwenye ulinzi wa nchi yao
 
My mind tells me hao jamaa Destination ni Bongoland.

Tuendelee kufichana yanayojiri karibu na mipakani tutaona matokeo ya kutowaandaa nankuwashirikisha wananchi kwenye ulinzi wa nchi yao

Hizo ni minds za wasanii 😛 😛 😛
 
Magaidi ya ADF yenye mlengo wa dini ya kislamu yakiongozwa na Mtanzania Ahamed Muhamood Hasssan, yameingia Uganda, jeshi limetoa tahadhari. Jameni hampumziki kwenye huu mwezi wenu.

============

KAMPALA, March 18 (Xinhua) - The Ugandan military on Monday urged the public to be on alert after intelligence reports showed that a group of Allied Democratic Forces (ADF) fighters had crossed into the country from the neighboring Democratic Republic of the Congo (DRC).

Deo Akiiki, Uganda's deputy military spokesperson, told reporters in the Ugandan capital of Kampala that the rebels crossed into the country two days ago, noting that the group is under instruction from the Tanzanian-born ADF bomb expert Ahamed Muhamood Hasssan, also known as Abu Waqas.

Akiiki urged the public to be vigilant, adding that the ADF still seeks to send terror groups to Uganda, especially urban areas, places of worship, schools, and public gatherings.

He said the military has been put on high alert, and the security forces are highly prepared to protect Ugandans from attacks.

The ADF was responsible for the killing of two tourists at a national park in western Uganda and for the killing of at least 40 people, mostly students, last year, according to the Ugandan military.

Uganda and the Congolese troops in November 2021 launched a military operation dubbed "Operation Shujaa" to wipe out the ADF, after it carried out twin bombings in Kampala that killed six people and injured 33 others

english.news.cn
Haya wafyeke wala wasipoteze muda na mahakama.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wewe usiwe bendera fuata upepo mwenzio huyu MK254 hata ikitokea umegombana na mkeo ndani atakwambia magaidi ya kiislam yanahusika, kaa jitafakari sio kila alosema yeye wewe kwako ndio,, hiyo ADF na uislam wapi na wapi?? Huyu jamaa itakuwa aliliwa trako na ustadh na ndio maana anawamaind kwa kila jambo.
Mkewangu kipenzi haujambo?
 
Back
Top Bottom