Maganda ya korosho yana kemikali vitamini za kutengenezea vipodozi

Maganda ya korosho yana kemikali vitamini za kutengenezea vipodozi

CHADEMAASILI

Senior Member
Joined
Jan 19, 2018
Posts
122
Reaction score
92
Tanznaia na nchi nyngine zinazolima zao la Korosho sasa kuneemeka zaidi na zao hilo kufuatia Maganda ya zao hilo ambayo awali yalikuwa yakitupwa kugundulika kuwa na Kemikali na Vitamini ambazo zinaweza kutumika kutengenezea bidhaa mbalimbali vikiwemo vipodozi.
1566460143248.png
 
Wanawake Weusi wataanza kuwa wachache sana
Nahisi itatulazimu tuwapeleke makumbusho
Watajikoboa hawa ndugu zetu mpaka mwisho
 
Kuna Masai mmoja alitaka kuniuzia mafuta ya kuondoa chunusi usoni,lakini baada ya kunusa yale mafuta nikagundua ni ya korosho.
Sasa mimi ni mtu wa MTWARA kwa kawaida yale mafuta huwa yanachubua au kuunguza kabisa nikagairi kununua,sasa sijui huwa wanachanganya na nini mpaka leo sijapata jibu!
 
Back
Top Bottom