Magari 24,521 yanaswa kwa malimbikizo ya faini barabarani Tanzania

Magari 24,521 yanaswa kwa malimbikizo ya faini barabarani Tanzania

Hauitaji kuwa rocket scientist kuona kwamba kubadilisha offences kama chanzo cha mapato kutapelekea ufanisi wa policing upimwe kwa wangapi wameshikwa na sio education usimamizi umepelekea wangapi kutoshikwa hence kwamba uhalifu umepungua...

Sio sifa kutangaza kwamba tumekusanya kiasi fulani toka kwa traffic offences kwa jicho lingine ni kwamba uhalifu umeoongezeka


Usiniambie hao wakosaji wenzio hawana the so-called ^elimu.^ Elimu pekee wasiyokuwa nayo ni kutojua kwamba inakula kwao. Punishment ni motivation mojawapo ya good behavior.
 
Take it from me, hicho kiasi alichosema huyo kamanda nusu yake imeliwa as rushwa. Imagine juzi nimesimamushwa wakakagua leseni, sijui bima, fire extinguisher, triangle [emoji668] za parking... Yaani huchomoki, usipowapa elfu 5 huchomoki..


Kwa hiyo hivi vitu ulivyotaja ^sijui nini nini^ havihitajiki, siyo!??? Which driving school did you go!???
 
Hizo wanazozifuata mpaka parking na kwenye ma-garage (wakimaanisha kwamba hawa hawajalipa zile fines) kwa msako mkali wanazipeleka wapi ? wanaongeza fine juu ya fine ?


Ndiyo maana yake. Unawalipia usafiri na kufidia muda walioupoteza!???
 
Hujasikia kwa tulio Dar,ukifanya sherehe tu,bila kujali umefanyia nyumbani au ukumnini,mwenyekiti wa mtaa wako atakuja na mgambo na kitabu cha risiti ,lazima ulipe kodi.
Mlizidi sana na ubishoo wenu, Mara eti kuvishana pete! Mara kibinti kinatokea ukumbini eti kinatangaza kitumbo chake kinaning'inia mbele kama goma la bendi ya polisi! Mwingine nae kajaza watu nyumbani pake anafungua kidirisha na kutoa kakichwa ka mtoto eti anamtangaza amepata! Sasa mtuoneshe ubishoo wa utajiri wenu, chujio hiloo.
 
Back
Top Bottom