Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very Good question
P.RA5 dys = 1.4 billion
25 days = 7.0 billion (assuming a constant rate)
NB: ^Kamanda Mtafungwa^
ajali kazini...
Hauitaji kuwa rocket scientist kuona kwamba kubadilisha offences kama chanzo cha mapato kutapelekea ufanisi wa policing upimwe kwa wangapi wameshikwa na sio education usimamizi umepelekea wangapi kutoshikwa hence kwamba uhalifu umepungua...
Sio sifa kutangaza kwamba tumekusanya kiasi fulani toka kwa traffic offences kwa jicho lingine ni kwamba uhalifu umeoongezeka
Take it from me, hicho kiasi alichosema huyo kamanda nusu yake imeliwa as rushwa. Imagine juzi nimesimamushwa wakakagua leseni, sijui bima, fire extinguisher, triangle [emoji668] za parking... Yaani huchomoki, usipowapa elfu 5 huchomoki..
Hizo wanazozifuata mpaka parking na kwenye ma-garage (wakimaanisha kwamba hawa hawajalipa zile fines) kwa msako mkali wanazipeleka wapi ? wanaongeza fine juu ya fine ?
Nimecheka tu pale walipoona hawazikamati barabarani wakaamua wazitimbie kitaani[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hujasikia kwa tulio Dar,ukifanya sherehe tu,bila kujali umefanyia nyumbani au ukumnini,mwenyekiti wa mtaa wako atakuja na mgambo na kitabu cha risiti ,lazima ulipe kodi.Baada ya hapa hatujui nini kitafatia.
Mlizidi sana na ubishoo wenu, Mara eti kuvishana pete! Mara kibinti kinatokea ukumbini eti kinatangaza kitumbo chake kinaning'inia mbele kama goma la bendi ya polisi! Mwingine nae kajaza watu nyumbani pake anafungua kidirisha na kutoa kakichwa ka mtoto eti anamtangaza amepata! Sasa mtuoneshe ubishoo wa utajiri wenu, chujio hiloo.Hujasikia kwa tulio Dar,ukifanya sherehe tu,bila kujali umefanyia nyumbani au ukumnini,mwenyekiti wa mtaa wako atakuja na mgambo na kitabu cha risiti ,lazima ulipe kodi.