Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Magari hayo matatu aina ya Range Rover na mengine matatu aina ya Mercedes Benz, yaliyoripotiwa kuibiwa na kuuzwa nchini Kenya yamepokonywa.
Magari hayo hayo ya kifahari yaliibiwa nchini Afrika Kusini na Uingereza.
Uchunguzi wa kina uliofanywa na maafisa wa polisi wa kimataifa (Interpol), ulifichua kuwa moja katika ya magari aina ya Range Rover, lilikuwa limesajiliwa na nambari ya Toyota Probox, kama ilivyoripoti runinga ya Citizen TV.
Ripoti hiyo pia inadokezea kuwa gari moja aina ya Mercedes lilikuwa limeibwa kutoka kwa Tshegofasto Mabyane, ambaye ni raia wa Afrika Kusini huku lingine la Range Rover likiibwa kutoka nchini Uingereza.
Idara ya Upelelezi ya Makosa ya Jinai (DCI,) ilisema magari hayo ya kifahari yatapelekwa katika Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) na Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA).
=============================================================
The three Range Rovers and three Mercedes Benz vehicles reported to have been stolen and smuggled into the country have been impounded.
The six high end vehicles were stolen in South Africa and the United Kingdom and smuggled into the country to evade tax were impounded at the Mombasa port.
The high end vehicles were stolen in South Africa and the United Kingdom and smuggled into the country to evade tax. Photo: Citizen TV.
Source: UGC
Preliminary investigations by International Police (Interpol) further revealed that one of the Range Rover bore the registration number of a Toyota Probox, Citizen TV reported.
The report also showed that one of the Mercedes cars was stolen from one Tshegofasto Mabyane a South African while one of the Range Rover was stolen from the United Kingdom.
The other vehicles had been processed as semi-trailers.
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) said the luxury vehicles will be handed over to the National Transport and Safety Authority (NTSA) and the Kenya Revenue Authority (KRA).
The two authorities are expected to do proper processing before the vehicles are returned to their original countries.
In a separate incidence, the DCI has appealed to the public to help detectives investigating a case of a stolen motor vehicle with information on its whereabouts.
The vehicle, a Toyota Saloon Reg. KCF 727E, Black Colour is said to be an exhibit in an ongoing criminal case and had been disposed off by the time the suspect was arrested.
This is not the first time stolen vehicle from UK have been found in Kenya illegally considering In March, 2019, KRA intercepted three high-end cars at the Port which were on transit to Uganda.
Magari hayo hayo ya kifahari yaliibiwa nchini Afrika Kusini na Uingereza.
Uchunguzi wa kina uliofanywa na maafisa wa polisi wa kimataifa (Interpol), ulifichua kuwa moja katika ya magari aina ya Range Rover, lilikuwa limesajiliwa na nambari ya Toyota Probox, kama ilivyoripoti runinga ya Citizen TV.
Ripoti hiyo pia inadokezea kuwa gari moja aina ya Mercedes lilikuwa limeibwa kutoka kwa Tshegofasto Mabyane, ambaye ni raia wa Afrika Kusini huku lingine la Range Rover likiibwa kutoka nchini Uingereza.
Idara ya Upelelezi ya Makosa ya Jinai (DCI,) ilisema magari hayo ya kifahari yatapelekwa katika Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani (NTSA) na Mamlaka ya Ukusanyaji Ushuru Nchini (KRA).
=============================================================
The three Range Rovers and three Mercedes Benz vehicles reported to have been stolen and smuggled into the country have been impounded.
The six high end vehicles were stolen in South Africa and the United Kingdom and smuggled into the country to evade tax were impounded at the Mombasa port.
The high end vehicles were stolen in South Africa and the United Kingdom and smuggled into the country to evade tax. Photo: Citizen TV.
Source: UGC
Preliminary investigations by International Police (Interpol) further revealed that one of the Range Rover bore the registration number of a Toyota Probox, Citizen TV reported.
The report also showed that one of the Mercedes cars was stolen from one Tshegofasto Mabyane a South African while one of the Range Rover was stolen from the United Kingdom.
The other vehicles had been processed as semi-trailers.
The Directorate of Criminal Investigations (DCI) said the luxury vehicles will be handed over to the National Transport and Safety Authority (NTSA) and the Kenya Revenue Authority (KRA).
The two authorities are expected to do proper processing before the vehicles are returned to their original countries.
“…No one will steal from one country and enjoy the sweat of others while in another country,” said the DCI.
In a separate incidence, the DCI has appealed to the public to help detectives investigating a case of a stolen motor vehicle with information on its whereabouts.
The vehicle, a Toyota Saloon Reg. KCF 727E, Black Colour is said to be an exhibit in an ongoing criminal case and had been disposed off by the time the suspect was arrested.
This is not the first time stolen vehicle from UK have been found in Kenya illegally considering In March, 2019, KRA intercepted three high-end cars at the Port which were on transit to Uganda.