Ushajaribu "taste" yake?
Hivi ina taste sasa hii? Unaskia watu wanapiga honi kwa miguu.
Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.
ha ha ha umenichekesha sana!!Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.
Everything happens for a reason.....ha ha ha umenichekesha sana!!
Lol u made ma day
miss u too brother miss miss uaisee,nilikumis sana aisee!!
Wengi wa wazazi ndo sisi hapa......
Tujiulize tu, ni lazima kuwaexpose watoto wetu kwenye huo ulimwengu wa dot com?
I have a daughter, 15 years old, hana simu na wala hakuna alichopungua, maisha yanasonga mbele. akitaka kuwasiliana na rafiki zake ananiomba simu yangu au ya babake, anaongea nao wanamaliziana anarudisha simu. Aliwahi kuomba simu nikamkalisha chini ka kumweleza pros and cons za kumiliki simu kwa umri wake, akanielewa, na hajaomba tena........
Kuna likizo mwaka jana nyumbani kwangu alikuja my sisters' daughter ambaye ni 3 years older than my daughter. Alikuwa na smart fone, ilikuwa sheshe. Mtoto saa zote yupo kwenye mtandao na kuchat. Nilifurahi tu alipoondoka my daughter aliniambia I am right kutompa simu kwa sasa......
Wazazi wengi tuna mchango mkubwa sana kujenga au kusaidia kuweka nyenzo kubomoa maisha ya watoto wetu. Tunadhani tunawapenda sana watoti wetu kumbe tunawasaidia kuwabomoa.
Mniamini, makosa ambayo watoto wanayafanya wenyewe, kwa jitihada zao huwa wanayajutia sana kuliko yale wanayoyafanya kwa kusaidiwa na wazazi wao.
Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.
Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.
Mi mzima sana ...miss u too brother miss miss u
hujambo lakini baba paroko
Hivi ina taste sasa hii? Unaskia watu wanapiga honi kwa miguu.
Na kwenye zile purukushani unashtukia umetupa "andawea" dirishani ....lol!!