Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naenda kumwambia shemeji yako aache kazi awe mama ntilie.
nothing to say rather than missing you my best friend how are you Watu 8hii hufanywa sana na watu wazima haswa kwenye parking spaces za maofisini...
Watu huenda ghorofa ya juu kwenye slot ya mwisho kabisa wakati wa lunch time, na huko hufanya mambo yao pasipo wasiwasi wowote.
na wale wanaotembeza matunda kwenye vibesenimpwa mbona hawa nao ni chakula ya fundi wajenzi, fundi makenika n.k :angry:
Ku du kwenye gari, yataka moyo.
na wale wanaotembeza matunda kwenye vibeseni
Mpwa mbona hawa nao ni chakula ya fundi wajenzi, fundi makenika n.k :angry:
Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.
daaa kweli kwenye gari ni majanga,..
Hii hufanywa sana na watu wazima haswa kwenye parking spaces za maofisini...
Watu huenda ghorofa ya juu kwenye slot ya mwisho kabisa wakati wa lunch time, na huko hufanya mambo yao pasipo wasiwasi wowote.
daaa kweli kwenye gari ni majanga,..
mkuu mtambuzi maadili yameanza kumong'onyoka tangu zamani ila ilikuwa usiri mkubwa. Ukiuliza hapa ni wanawake wangapi waliolewa na usichana wao utawakuta wachache hii inamaanisha michezo hii waliianza zamani kwa sababu ya usiri mkubwa ndio maana ilonekana ina maadili jamii ya zamani katika uchunguzi wangu niligundua wengi wa wanawake wa kizamani ambao ndio kina mama wa sasa walipoteza usichana wao kwa wajomba ndugu wa karibu au majirani huu ni ukweli usiopingika ila ilikuwa kuna usiri wa hali ya juu ilikuwa wakimaliza ku do wakitoka hapo ni heshima kwa kwenda mbele hata michepuko zamani ilikuwepo ila kulikuwa na usiri mkubwa baina ya watu wanaochepuka. Ila siku hizi imeonekana na kulaumiwa jamii imeharibika kwa sababu usiri hakuna mtu akichepuka na mke wa mtu ni kujitangaza mtu akitoka na mwanamke ni kujitangaza kwa marafiki vijana wa siku hizi hawaogopi kuongozana na mwenza wake yaani usiri hakuna. Ndoa za siku hizi ni ndoa jina mtu asipohudumiwa vizuri ni kutangaza tofauti na zamani.
Mkuu mtambuzi tofauti ya watoto wa siku hizi na wazamani ni
mitandao pamoja na simu ambavyo vingekuja zamani pia jamii ya nyuma yake ingelaani
mavazi ambapo vijana wa siku hizi wanaenda na fasheni niulize wanaume wa sasa na wazamani tulikuwa tunavaa kama sasa hivi ?
Maendeleo
tofauti kubwa kabisa baina ya kizazi cha dot com na zilipendwa ni usiri
na wale wanaotembeza matunda kwenye vibeseni
Utafkiri hujawahi. shenzy zako na robo.