Magari au vitanda vinavyotembea?

Magari au vitanda vinavyotembea?

Vingi wanavyofanya watoto wetu ni kuiga mambo wanayoyaona kwenye TV cha muhimu ni kumuelewesha mtoto ajitambue, ajue nini anafanya na wapi atakiwa kwenda itasaidia yeye kuji-handle.

Usitumie ukali dunia ya leo, utajuta kama mzazi.
 
wazazi wa sasa wanalea watoto kizungu.............kwahiyo wazazi kama wazazi waache uzungu.....waendeleze mila na desturi ingawa kwa mazingira ya sasa ni magumu lakini......wajitahidi hivyohivyo.....
 
Mkuu Mtambuzi maadili yameanza kumong'onyoka tangu zamani ila ilikuwa usiri mkubwa. Ukiuliza hapa ni wanawake wangapi waliolewa na usichana wao utawakuta wachache hii inamaanisha michezo hii waliianza zamani kwa sababu ya usiri mkubwa ndio maana ilonekana ina maadili jamii ya zamani katika uchunguzi wangu niligundua wengi wa wanawake wa kizamani ambao ndio kina mama wa sasa walipoteza usichana wao kwa wajomba ndugu wa karibu au majirani huu ni ukweli usiopingika ila ilikuwa kuna usiri wa hali ya juu ilikuwa wakimaliza ku do wakitoka hapo ni heshima kwa kwenda mbele hata michepuko zamani ilikuwepo ila kulikuwa na usiri mkubwa baina ya watu wanaochepuka. Ila siku hizi imeonekana na kulaumiwa jamii imeharibika kwa sababu usiri hakuna mtu akichepuka na mke wa mtu ni kujitangaza mtu akitoka na mwanamke ni kujitangaza kwa marafiki vijana wa siku hizi hawaogopi kuongozana na mwenza wake yaani usiri hakuna. Ndoa za siku hizi ni ndoa jina mtu asipohudumiwa vizuri ni kutangaza tofauti na zamani.

Mkuu Mtambuzi tofauti ya watoto wa siku hizi na wazamani ni
Mitandao pamoja na simu ambavyo vingekuja zamani pia jamii ya nyuma yake ingelaani
Mavazi ambapo vijana wa siku hizi wanaenda na fasheni niulize wanaume wa sasa na wazamani tulikuwa tunavaa kama sasa hivi ?
Maendeleo
Tofauti kubwa kabisa baina ya kizazi cha dot com na zilipendwa ni USIRI
 
Last edited by a moderator:
hii hufanywa sana na watu wazima haswa kwenye parking spaces za maofisini...

Watu huenda ghorofa ya juu kwenye slot ya mwisho kabisa wakati wa lunch time, na huko hufanya mambo yao pasipo wasiwasi wowote.
nothing to say rather than missing you my best friend how are you Watu 8
 
Last edited by a moderator:
Mi sioni kama kuna cha kufanya kwakuwa naona kama mazingira ndio yameshakuwa ya aina hii na ndio ulimwengu ulipofikia

Maendeleo yana changamoto zake na mojawapo ni hii,cha kufanya ni kuwapa watoto ulinzi wa kujisimamia kimaamuzi tu huko wanakokuwa na sidhani kama kuna msaada zaidi ya huo!
 
Sitasahau siku nilijaribu kwenye ka VITZ.....basi mguu uliingia kwenye stelingi ukanasa huku unaponyeza honi mfululizo....mbaya zaidi tulikua watupu...weee......kama sio tinted ingekua balaa maana watu alishaanza kuja.

kwahyo mwenyewe ndo unaona siifa
 
HEEEEEEE DADDY UNAKUMBUKA PALE KWENYE LILE GHOROFA LETU LA KULE MJINI ULIVYOWABAMBA WALE WATU HALAFU UKANIAMBIA MM NIFUMBE :A S-eek:
Hii hufanywa sana na watu wazima haswa kwenye parking spaces za maofisini...

Watu huenda ghorofa ya juu kwenye slot ya mwisho kabisa wakati wa lunch time, na huko hufanya mambo yao pasipo wasiwasi wowote.
 
Zamani hakukuwa hivyo kabisa wengi wa vijana walikuwa na maadili kwani walifundishwa jandoni na unyagoni kuwa hivyo vitu viko na vinafanywa kwa staha tena sehemu faragha , watoto wa siku hizi hawana lepe la aibu wao kila mahali hata mbele ya wazazi wao kazi yao moja twende tupakue wewe unafikiri nini hapos sasa si nikuporomoka kwa maadili nakataa kabisa hapo zamaini haikuwa hivyo labda wale waliokengeuka tokea ulaya ndo walileta mambo hayo ila sisi wa vijijni hatukuwa hivyo kabisa

mkuu mtambuzi maadili yameanza kumong'onyoka tangu zamani ila ilikuwa usiri mkubwa. Ukiuliza hapa ni wanawake wangapi waliolewa na usichana wao utawakuta wachache hii inamaanisha michezo hii waliianza zamani kwa sababu ya usiri mkubwa ndio maana ilonekana ina maadili jamii ya zamani katika uchunguzi wangu niligundua wengi wa wanawake wa kizamani ambao ndio kina mama wa sasa walipoteza usichana wao kwa wajomba ndugu wa karibu au majirani huu ni ukweli usiopingika ila ilikuwa kuna usiri wa hali ya juu ilikuwa wakimaliza ku do wakitoka hapo ni heshima kwa kwenda mbele hata michepuko zamani ilikuwepo ila kulikuwa na usiri mkubwa baina ya watu wanaochepuka. Ila siku hizi imeonekana na kulaumiwa jamii imeharibika kwa sababu usiri hakuna mtu akichepuka na mke wa mtu ni kujitangaza mtu akitoka na mwanamke ni kujitangaza kwa marafiki vijana wa siku hizi hawaogopi kuongozana na mwenza wake yaani usiri hakuna. Ndoa za siku hizi ni ndoa jina mtu asipohudumiwa vizuri ni kutangaza tofauti na zamani.

Mkuu mtambuzi tofauti ya watoto wa siku hizi na wazamani ni
mitandao pamoja na simu ambavyo vingekuja zamani pia jamii ya nyuma yake ingelaani
mavazi ambapo vijana wa siku hizi wanaenda na fasheni niulize wanaume wa sasa na wazamani tulikuwa tunavaa kama sasa hivi ?
Maendeleo
tofauti kubwa kabisa baina ya kizazi cha dot com na zilipendwa ni usiri
 
Back
Top Bottom