OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Nikiona Discovery imefunguliwa boneti barabarani inatia uchungu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo wa bongo ni wa bishi sanaa utanunua je discovery au Range kutoka UK yenya 150k OD mita, ni lazima ikusumbua kila kitu kinakua overweared, kisa bei ni 37m 32m matatizo tipu, mnyaru Chris anawapiga vibaya.Nikiona Discovery imefunguliwa boneti barabarani inatia uchungu sana
lakini ukitazama hz chuma zikiwa road zinakuwa tam sanaTatizo wa bongo ni wa bishi sanaa utanunua je discovery au Range kutoka UK yenya 150k OD mita, ni lazima ikusumbua kila kitu kinakua overweared, kisa bei ni 37m 32m matatizo tipu, mnyaru Chris anawapiga vibaya.
Ila ziko dericate sana kwa mazingira yetu. Hiyo duscovery huwezi kutoka nao Dar mpaka Kigoma kuenda na kurudi na usipate breakdown ni mayai sanaalakini ukitazama hz chuma zikiwa road zinakuwa tam sana
Kazi ni kipimo cha utu...weraaaTatizo wa bongo ni wa bishi sanaa utanunua je discovery au Range kutoka UK yenya 150k OD mita, ni lazima ikusumbua kila kitu kinakua overweared, kisa bei ni 37m 32m matatizo tipu, mnyaru Chris anawapiga vibaya.
mali za mjeremani ndio zinaongoza, tusiige kila kitu. twenzetu japan wandugu.Huko uliko gari zipi zimejazana sana kwenye magereji?
Weka jina hapa hlf kimbia ukachekee mbali sana na ibaki kuwa siri yako usimwambie mtu.
Hapa nilipo naona BMW, Jeep, Nissan Duke, xtrail list ni ndefu wakuu niishie hapa nahofia usalama wangu.
Hii ngoma bado mbichi.
Tuseme karibia magari yote ya hapa Tanzania asilimia kubwa yao ni used, utakuta gari limetumika huko nje mpaka kuchoka, linarudishwa kilomita nyuma na kuletwa huku Tanzania kwa wajinga kuja kuozeana kwenye magereji na nyumba za watu.Huko uliko gari zipi zimejazana sana kwenye magereji?
Weka jina hapa hlf kimbia ukachekee mbali sana na ibaki kuwa siri yako usimwambie mtu.
Hapa nilipo naona BMW, Jeep, Nissan Duke, xtrail list ni ndefu wakuu niishie hapa nahofia usalama wangu.
Hii ngoma bado mbichi.
Japan hawajui kuuza feki materialsmali za mjeremani ndio zinaongoza, tusiige kila kitu. twenzetu japan wandugu.
Extrovert ..Huko uliko gari zipi zimejazana sana kwenye magereji?
Weka jina hapa hlf kimbia ukachekee mbali sana na ibaki kuwa siri yako usimwambie mtu.
Hapa nilipo naona BMW, Jeep, Nissan Duke, xtrail list ni ndefu wakuu niishie hapa nahofia usalama wangu.
Hii ngoma bado mbichi.
HahahahaGari zilizoshindikana garage nyingi ni za europe. VW, Bmw, benz.
[emoji1787]Kazi ni kipimo cha utu...weraaa
Kwema, bado ipo? Na ni defender toleo gani?Leo kuna mtu alikuwa analalamika Land Rover Defender limemuharibikia anatafuta gari nyingine.
Defender 110 series hizo gari ngumu unless (puma) nayo tu ni fuel stystem ambayo ni dependable kwenye umeme, exlator nayo pia ya umeme si cable kama za wengineLeo kuna mtu alikuwa analalamika Land Rover Defender limemuharibikia anatafuta gari nyingine.