Sawa mkuu, nitaulizia next week nikirudi Geita mjini.Ulizia sinza Vijiweni then teremka na barabara ya tandale utajionea mwenyewe Yard ya Magari
Ni njia ya ya sinza kijiweni kupita Tandale mpaka kawawa road....😎😎😎Ushiromo wilayani Bukombe??ndo wap
Wanayauza kama yalivyo au spare partsWana Jf ni matumaini yangu nyote humu mu wazima. Ninaomba kufahamishwa kwa wanao ifahamu njia ya ya sinza kijiweni kupita Tandale mpaka kawawa road kuna magari mengi sana ambayo ni kama yametelekezwa na yanazidi kuongezwa, mengi ni mabovu yamepata ajali na naona kila kukicha yanazidi kulundikwa. Mengine ni 90% bado mazima kama last week nimeona kuna Prado TX nyeupe na Land Cruiser G100 zimeongezwa kwenye list.
sasa kwa Muda mrefu sana kuna maswali nimekua nikijiuliza sasa ningependa kufamishwa.
1. Je, ni nani ana husika nayo moja kwa moja maana kuna mengine naona bado yanafaa kwa spare parts
2. Je, kuna utaratibu wowote ule endapo mtu atataka kujing'olea spares maana ni kama yametelekezwa.
3. Ni kwa nini yanatelekezwa eneo kama lile lisilo rasmi maana ni pembezoni mwa barabara kabisa.
Naomba kuwasilsha.
Kama body ipo vizuri unanunua ila hakikishaa upate na kadi yake. Kisha injini,tairi na vitu vingine utatafuta.Dah aise niliona Prado mpya kabisa sema nawasiwas ni Body nzima ila Engine ukute isha R.I.P kitambo..[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama body ipo vizuri unanunua ila hakikishaa upate na kadi yake. Kisha injini,tairi na vitu vingine utatafuta.
Injini utatafuta ya 2L-Turbo unafunga hapo Maisha yanaendelea hakuna mtu atakaye jua gari ya kuunga unga.
😄😄😄 bado upo bugalagalaSawa mkuu, nitaulizia next week nikirudi Geita mjini.
Kwasasa nipo huku Kashelo, Ushirombo wilayani Bukombe mkuu wangu..☺️☺️
naweza kupata mawasiliano ya mmoja mkata magari, nilikuwa nahitaji spare ya gari yangu IPSUM NEWWanayakata kata alias kuchinja na kuuza spare, ni biashara nzuri! Pia ipo kule machinga complex na ilala!
Uko wapi,? Nitumie model ya gari na picha ya spea kama iponaweza kupata mawasiliano ya mmoja mkata magari, nilikuwa nahitaji spare ya gari yangu IPSUM NEW