Magari mawili yakamatwa yakiwa na namba zinazofanana

Magari mawili yakamatwa yakiwa na namba zinazofanana

LJ BLOG

Senior Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
194
Reaction score
154
Habari wanazengo, Naomba Kuleta Hii mada ili mwenye kuweza namna ya kutoa mawazo na ushauri juu ya kuweza kujikinga au kugundua kama kuna mtu ana gari inayofanana kuanzia muonekano mpaka namba za usajili wa Gari lako.

Siku kama nne Jirani yangu alikamatwa na Polisi wa Usalama Barabarani Dar Es Salaam na kuambiwa kuwa gari yake inadaiwa faini ya Sh elfu 30, baada ya kuambiwa hivyo akalipa na kuachiwa lakini akajiuliza Gari anatumia yeye tu na hakuna mtu mwingine lakini akapotezea baada ya siku chache tena Akakamatwa na Kuambiwa anadaiwa Sh elfu 6 kwa Kosa la Kuzidisha Spidi hapo ikabidi sasa aulize vizuri kosa hilo lilifanyika wapi akaambiwa lilifanyika mkoani Huko Mtwara akasema mbona mimi gari yangu haijawahi kwenda huko wala mim mwenyewe sijawahi kwenda na gari hii yangu huko?Wakavutana ikabidi alipe faini na kuelekea Polisi Cetral Dar na kutoa Malalamiko yake Katika Kujielezea Askari Akamwambia kuwa inawezekana Kuna gari Kama yako na Inatumia Namba kama Yako kwahio Subiri tufuatilie tutakuita Bahati Nzuri Jeshi la Polisi Likafanya Msako na Kulikamata Gari hilo Mtwara na Kulileta Central Polisi Aisee Mwenye Gari huyu wa Dar Kuja kuangalia Akashangaa sana kuona Gari linafanana kila kitu kuanzia Rangi, Aina, Hadi Namba ndipo hapo Wakawekwa Ndani wote Hatua ya kwanza Ilikua Kuwahoji na Kuuliza wote kuhusiana na Kadi ya Gari lake Ndipo hapo Huyu Jirani yangu Akasema Aliagiza Gari hilo na kila kitu anacho yule wa Mtwara aliyekamatwa akasema Aliuziwa na Mtu na Hata kadi ya Gari hajapewa bado amepewa Kopi ya Kadi ya Gari tu

Sasa wanazengo ebu mwenye kuelewa namna ambavyo tunaweza kugundua kama Kuna mtu anatumia namba za gari lako Au langu au nini kifanyike kufahamu

Ushauri Zaidi
 
Vp kama ukiwa unaangalia kwanza TRA na kupata majibu kabla ya kununua?
 
Mbona jambo kama hili linatatulika haraka. TRA wana audit trail report kwenye system Polisi wanashindwa nini kufuatilia
 
Huyo wa Mtwara kauziwa gari za Transit aka ya kupigwa.
 
carina-jpg.1102195
1102196
 

Attachments

  • carina.jpg
    carina.jpg
    56.4 KB · Views: 210
  • benz.jpg
    benz.jpg
    61.6 KB · Views: 74
  • carina.jpg
    carina.jpg
    56.4 KB · Views: 76
  • kenya cars.jpg
    kenya cars.jpg
    78.2 KB · Views: 63
  • rauum.jpg
    rauum.jpg
    110 KB · Views: 74
fi
Habari wanazengo, Naomba Kuleta Hii mada ili mwenye kuweza namna ya kutoa mawazo na ushauri juu ya kuweza kujikinga au kugundua kama kuna mtu ana gari inayofanana kuanzia muonekano mpaka namba za usajili wa Gari lako.

Siku kama nne Jirani yangu alikamatwa na Polisi wa Usalama Barabarani Dar Es Salaam na kuambiwa kuwa gari yake inadaiwa faini ya Sh elfu 30, baada ya kuambiwa hivyo akalipa na kuachiwa lakini akajiuliza Gari anatumia yeye tu na hakuna mtu mwingine lakini akapotezea baada ya siku chache tena Akakamatwa na Kuambiwa anadaiwa Sh elfu 6 kwa Kosa la Kuzidisha Spidi hapo ikabidi sasa aulize vizuri kosa hilo lilifanyika wapi akaambiwa lilifanyika mkoani Huko Mtwara akasema mbona mimi gari yangu haijawahi kwenda huko wala mim mwenyewe sijawahi kwenda na gari hii yangu huko?Wakavutana ikabidi alipe faini na kuelekea Polisi Cetral Dar na kutoa Malalamiko yake Katika Kujielezea Askari Akamwambia kuwa inawezekana Kuna gari Kama yako na Inatumia Namba kama Yako kwahio Subiri tufuatilie tutakuita Bahati Nzuri Jeshi la Polisi Likafanya Msako na Kulikamata Gari hilo Mtwara na Kulileta Central Polisi Aisee Mwenye Gari huyu wa Dar Kuja kuangalia Akashangaa sana kuona Gari linafanana kila kitu kuanzia Rangi, Aina, Hadi Namba ndipo hapo Wakawekwa Ndani wote Hatua ya kwanza Ilikua Kuwahoji na Kuuliza wote kuhusiana na Kadi ya Gari lake Ndipo hapo Huyu Jirani yangu Akasema Aliagiza Gari hilo na kila kitu anacho yule wa Mtwara aliyekamatwa akasema Aliuziwa na Mtu na Hata kadi ya Gari hajapewa bado amepewa Kopi ya Kadi ya Gari tu

Sasa wanazengo ebu mwenye kuelewa namna ambavyo tunaweza kugundua kama Kuna mtu anatumia namba za gari lako Au langu au nini kifanyike kufahamu

Ushauri Zaidi
fine ya 6000 ni mpya???????????
 
Hii ndio bongo bhana wewe
Nachohisi ni kuwa hapo TRA kuna baadhi ya Wafanyakaz wanafanya hizo mishe za harsm kisha wanagonga fedha.
 
Sasa napata picha kwa kilichonitokea miezi kadhaa, nilikamatwa na trafiki kwa over speed nikalipa fine nikaondoka ile nafika mkoa mwingine nikakamatwa tena nikaambiwa Nina deni LA fine ya laki moja na elfu ishirini eti liliandikwa bagamoyo na jina la leseni ya huyo dereva wakamtaja, nikawaambia simfahamu huyo mtu wala sijawahi mwazimisha gari MTU mwenye jina hilo, tukabishana wakaniacha,baadae nikaenda tena kutizama ile fine bado inasoma tu wakaniambia lazima niilipe, nimewapuuza lakini nawaza nini kilitokea...
Sasa hii habari imenifungua hii michezo ya nchi hii kuna uwezekano nami nifuatilie .
 
inawezekana kutokupanda mshahara kuna fanya watu wajisahau wasifanye kaz inavyotakiwa
 
Habari wanazengo, Naomba Kuleta Hii mada ili mwenye kuweza namna ya kutoa mawazo na ushauri juu ya kuweza kujikinga au kugundua kama kuna mtu ana gari inayofanana kuanzia muonekano mpaka namba za usajili wa Gari lako.

Siku kama nne Jirani yangu alikamatwa na Polisi wa Usalama Barabarani Dar Es Salaam na kuambiwa kuwa gari yake inadaiwa faini ya Sh elfu 30, baada ya kuambiwa hivyo akalipa na kuachiwa lakini akajiuliza Gari anatumia yeye tu na hakuna mtu mwingine lakini akapotezea baada ya siku chache tena Akakamatwa na Kuambiwa anadaiwa Sh elfu 6 kwa Kosa la Kuzidisha Spidi hapo ikabidi sasa aulize vizuri kosa hilo lilifanyika wapi akaambiwa lilifanyika mkoani Huko Mtwara akasema mbona mimi gari yangu haijawahi kwenda huko wala mim mwenyewe sijawahi kwenda na gari hii yangu huko?Wakavutana ikabidi alipe faini na kuelekea Polisi Cetral Dar na kutoa Malalamiko yake Katika Kujielezea Askari Akamwambia kuwa inawezekana Kuna gari Kama yako na Inatumia Namba kama Yako kwahio Subiri tufuatilie tutakuita Bahati Nzuri Jeshi la Polisi Likafanya Msako na Kulikamata Gari hilo Mtwara na Kulileta Central Polisi Aisee Mwenye Gari huyu wa Dar Kuja kuangalia Akashangaa sana kuona Gari linafanana kila kitu kuanzia Rangi, Aina, Hadi Namba ndipo hapo Wakawekwa Ndani wote Hatua ya kwanza Ilikua Kuwahoji na Kuuliza wote kuhusiana na Kadi ya Gari lake Ndipo hapo Huyu Jirani yangu Akasema Aliagiza Gari hilo na kila kitu anacho yule wa Mtwara aliyekamatwa akasema Aliuziwa na Mtu na Hata kadi ya Gari hajapewa bado amepewa Kopi ya Kadi ya Gari tu

Sasa wanazengo ebu mwenye kuelewa namna ambavyo tunaweza kugundua kama Kuna mtu anatumia namba za gari lako Au langu au nini kifanyike kufahamu

Ushauri Zaidi
Njia ni rahisi tu,
Uwe na Invoice, Bill of Lading na Documents zingine za kuagiza gari. Kisha fungua bonnet kuna kibati kinaelezeaga muundo wa gari, engine number na pengine hata chassis number.

Kagua kama hizo taarifa zinawiana na zilizoko kwenye documents ulizoingizia au kuagizia gari. Ukitoka hapo, kagua pia kama hizo taarifa zinawiana na zilizoko kwenye kadi yako ya umiliki uliopewa na TRA. Vikipishana hapa Mjomba jua unatembelea gari yenye number za mtu mwengine.

La mwisho hakikisha unazo documents ulizopewa wakati wa kugomboa gari lako. Means slips za benki, risiti za TRA, bandari, etc. Siku ikitokea mtu mwengine anatumia number zako zitahitajika kuthibitisha nani ni halali kati yenu.

Na hapa kwenye slip za benki hakikisha amount inawiana na hela uliompa. Isije ikawa umempa Agent hela 5mil akalipe kodi halafu kwenye faili una slip ya laki 2 tu, hapa stuka aisee.
 
Njia ni rahisi tu,
Uwe na Invoice, Bill of Lading na Documents zingine za kuagiza gari. Kisha fungua bonnet kuna kibati kinaelezeaga muundo wa gari, engine number na pengine hata chassis number.

Kagua kama hizo taarifa zinawiana na zilizoko kwenye documents ulizoingizia au kuagizia gari. Ukitoka hapo, kagua pia kama hizo taarifa zinawiana na zilizoko kwenye kadi yako ya umiliki uliopewa na TRA. Vikipishana hapa Mjomba jua unatembelea gari yenye number za mtu mwengine.

La mwisho hakikisha unazo documents ulizopewa wakati wa kugomboa gari lako. Means slips za benki, risiti za TRA, bandari, etc. Siku ikitokea mtu mwengine anatumia number zako zitahitajika kuthibitisha nani ni halali kati yenu.

Na hapa kwenye slip za benki hakikisha amount inawiana na hela uliompa. Isije ikawa umempa Agent hela 5mil akalipe kodi halafu kwenye faili una slip ya laki 2 tu, hapa stuka aisee.
Asante kwa ushauri wako mkuu na Je ni vp kwa Wale wanaotaka kununua gari kwa Mtu ambaye hana faili la gari zaidi ya Kadi ya Gari Tu?
 
Asante kwa ushauri wako mkuu na Je ni vp kwa Wale wanaotaka kununua gari kwa Mtu ambaye hana faili la gari zaidi ya Kadi ya Gari Tu?
Hapo kagua kwanza kama kadi sio fake. Hapo itabidi uende TRA ndo wanazijua. Maana waweza kukuta kadi uliyonayo ilishabadilishwa details akapewa huyo mwengine.

Ukishahakikisha uhalali wa kadi then kagua details za kwenye kibati ndani ya bonnet kama zinafanana na za kwenye kadi, means Engine Number na Chassis Number.

Tatu mkiandikishiana Mwambie aandike kwenye mkataba kua documents zingine amepoteza, na ikiwezekana akupe na Loss Report yake ya polisi.
 
Back
Top Bottom