Magari mawili yakamatwa yakiwa na namba zinazofanana

Magari mawili yakamatwa yakiwa na namba zinazofanana

Hapo kagua kwanza kama kadi sio fake. Hapo itabidi uende TRA ndo wanazijua. Maana waweza kukuta kadi uliyonayo ilishabadilishwa details akapewa huyo mwengine.

Ukishahakikisha uhalali wa kadi then kagua details za kwenye kibati ndani ya bonnet kama zinafanana na za kwenye kadi, means Engine Number na Chassis Number.

Tatu mkiandikishiana Mwambie aandike kwenye mkataba kua documents zingine amepoteza, na ikiwezekana akupe na Loss Report yake ya polisi.
Vp kama chassis number inatofuatiana kati ya kadi na kile kibati hapo inakuwaje?
 
Vp kama chassis number inatofuatiana kati ya kadi na kile kibati hapo inakuwaje?
Hapo kama gari hapo utakua umepigwa Mjomba, Yaan hapo itakua kuna gari ingine ndo yenye chassis number hiyo.

Zamani angalau hata ilikua rahisi kujua kama kuna mwenye kutumia number zako. Ilikua unachelewa tu kulipa annual road licence siku ukienda ukakuta imelipwa na "pacha" wako basi unajua tu mko Wawili.
 
Back
Top Bottom