jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
weka picha za hayo magari Mkuu
Tatizo lililojitokeza sasa hivi MADALALI wote wameivamia kazi hii wameacha hata kuuza mahindi pale Tandale.
Magari hawana wanaanzisha magroup hasa huko Whatsapp na ukiangalia magari HAWANA ila wanadalalia ya wenzao kwa kuongeza hapo 500,000/
utasikia inatakiwa IST chapchap aliyenayo anione tunakula mkono hapo Tajiri kanikaba
jerrybanks hili jina lina group ya Whatsapp kama sikosei ambapo gari hazitoki km nimefananisha sorry lkn weka gari tuzione na mimi nikupe langu uniuzie
- kwanini msiwe mnaweka na namba za wenye Magari? kuna Dada mmoja anauza gari yake yeye anaenda USA wiki ijayo, anataka 8m Madalali wameifkisha 10m wakati mwenyewe ana shida ya nauli (mnamkosesha usafiri)
- Gari ni mbovu ipo Tegeta ninyi mnapiga picha nyingine mikiambiwa ongezeni hata Dashboard mnasema gari haipo kumbe sio wamiliki
- Acheni biashara hizo hali kwa sasa ni ngumu vyuma vimekaza mtapata lawana wakutanisheni wanunuzi na wauzaji ninyi madala;i mtapewa % zenu la sivyo waacheni wakauze www.zoomtanzania.com
kwanza natafuta gari Harrier ndio niuze IST nisije nikaingia mkenge kwa hawa madalali gari zote anauza mtu mmoja hata langu hataweka contact zangu. Kuna jamaa kauza IST ya 9m ili anunue Mark X ya 7m kala km yoteMkuu una gari unauza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Harrier old au new na iliyotumika au ya showroomkwanza natafuta gari Harrier ndio niuze IST nisije nikaingia mkenge kwa hawa madalali gari zote anauza mtu mmoja hata langu hataweka contact zangu. Kuna jamaa kauza IST ya 9m ili anunue Mark X ya 7m kala km yote
Najuta kwanini niliuza gari yangu - JamiiForums
Nataka iliyotumika hata km ni ya 1999 hata iwe na cc3000 lakini ngoja uniuzie kwanza IST
Njoo pm tuyajenge mkuuNataka iliyotumika hata km ni ya 1999 hata iwe na cc3000 lakini ngoja uniuzie kwanza IST
Kama hiyo IST T247 BAJ kuna dalali mwingine kaposti humu Jf kasema 6M..Huyu anasema 6.5M still anasema haongezi cha juu..weka picha za hayo magari Mkuu
Tatizo lililojitokeza sasa hivi MADALALI wote wameivamia kazi hii wameacha hata kuuza mahindi pale Tandale.
Magari hawana wanaanzisha magroup hasa huko Whatsapp na ukiangalia magari HAWANA ila wanadalalia ya wenzao kwa kuongeza hapo 500,000/
utasikia inatakiwa IST chapchap aliyenayo anione tunakula mkono hapo Tajiri kanikaba
jerrybanks hili jina lina group ya Whatsapp kama sikosei ambapo gari hazitoki km nimefananisha sorry lkn weka gari tuzione na mimi nikupe langu uniuzie
- kwanini msiwe mnaweka na namba za wenye Magari? kuna Dada mmoja anauza gari yake yeye anaenda USA wiki ijayo, anataka 8m Madalali wameifkisha 10m wakati mwenyewe ana shida ya nauli (mnamkosesha usafiri)
- Gari ni mbovu ipo Tegeta ninyi mnapiga picha nyingine mikiambiwa ongezeni hata Dashboard mnasema gari haipo kumbe sio wamiliki
- Acheni biashara hizo hali kwa sasa ni ngumu vyuma vimekaza mtapata lawana wakutanisheni wanunuzi na wauzaji ninyi madala;i mtapewa % zenu la sivyo waacheni wakauze www.zoomtanzania.com
kwanza natafuta gari Harrier ndio niuze IST nisije nikaingia mkenge kwa hawa madalali gari zote anauza mtu mmoja hata langu hataweka contact zangu. Kuna jamaa kauza IST ya 9m ili anunue Mark X ya 7m kala km yote
Najuta kwanini niliuza gari yangu - JamiiForums
Kama hiyo IST T247 BAJ kuna dalali mwingine kaposti humu Jf kasema 6M..Huyu anasema 6.5M still anasema haongezi cha juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hiyo IST T247 BAJ kuna dalali mwingine kaposti humu Jf kasema 6M..Huyu anasema 6.5M still anasema haongezi cha juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMESHAPATA Mkuu nashukuru sana kwa msaada uliotaka nisaidia pi JF wameniongoza ilipo, ngoja kwanza itoke gereji kuna ka service kadogo (gear 3 kwenda 4 haipokei ni AT)harrier zipo mkuu ntafute kwa no 0659756647
Sent from my iPhone using JamiiForums
View attachment 1048148
View attachment 1048150
Hiyo Harrier dalali kaanzia 4.5m nimemtafuta mwenye na hizo za gari kasema hata chini ya 4m inazungumzika na kanieleza ukweli tatizo zima la gari, mileage nk sasa huoni Dalali kutokuweka namba za muuzaji anajiwekea 1m nzima na gari ikibuma hiyo 1m si ningenunulia injini pale Ilala, ndio maana sipendi gari iuzwe na watu wawili
Ukitaka kumjua mwenye gari ingia Traffic http://tms.tpf.go.tz/ namba ya leseni ya siku hiyo, au Ingia TRA au BIMA (TIRA MIS) ndipo utawaona wamiliki