Car4Sale Magari used Tanzania

Car4Sale Magari used Tanzania

Ukwaju mbona unapenda sana mateso??? acha kununua gari zilizochakaa hivi utakuja kujuta ndugu
Mm ni fundi na niko Mkoani km ujuavyo kule nakula 10m mpaka 13 km ni black kwa wasukuma wachimbaji na wafugaji wa kimasai (unaswaga ng'ombe zako 20 mpaka Pugu halafu nakutafuta, hawa watu kwa sasa hawataki tena Land Rover 110 km unazo tufanye biashara, mm nabadili injini na naziuza
 
Mm ni fundi na niko Mkoani km ujuavyo kule nakula 10m mpaka 13 km ni black kwa wasukuma wachimbaji na wafugaji wa kimasai (unaswaga ng'ombe zako 20 mpaka Pugu halafu nakutafuta, hawa watu kwa sasa hawataki tena Land Rover 110 km unazo tufanye biashara, mm nabadili injini na naziuza

Nimekuelewa mzee.
 
toyota raum
Mwaka 2001 na cc 1290
naiuza kwa 5.5m
haina tatizo lolote kwa ukaguzi na ununuzi nitafute kwa namba 0659756647
pia kwa mahitaji ya kununua magari au kuuza gari nitafute nikusaidie kwa uharaka iwe ni kwa kuuza na hata kununua
89c49918-c571-4843-90c0-3421fe32bd53.jpg
a508b2b2-1730-4186-bb2c-83cc04c0e029.jpg
ebbfa4c4-5f72-4bc1-82e5-73975567fd55.jpg
e16573ea-0ac2-4e79-aedf-6e750d5fda4c.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
View attachment 1048148
View attachment 1048150
Hiyo Harrier dalali kaanzia 4.5m nimemtafuta mwenye na hizo za gari kasema hata chini ya 4m inazungumzika na kanieleza ukweli tatizo zima la gari, mileage nk sasa huoni Dalali kutokuweka namba za muuzaji anajiwekea 1m nzima na gari ikibuma hiyo 1m si ningenunulia injini pale Ilala, ndio maana sipendi gari iuzwe na watu wawili
Ukitaka kumjua mwenye gari ingia Traffic http://tms.tpf.go.tz/ namba ya leseni ya siku hiyo, au Ingia TRA au BIMA (TIRA MIS) ndipo utawaona wamiliki

ndugu gari zote uzionazo naziposti ni gari ambazo nimekabidhiwa nami baada ya kukabidhiwa huwa najiridhiaha kwa kuzikagua ndo nauza siuzi kitu naichokijua nafanya kazi yangu kwa proffessional sababu ndo kazi inayoniendeshea maisha kama hyo harrier kaposti mtu mwengne huko usiharibie wengne kwa kosa la mwengne,wateja wangu always huwa satisfied na huduma nayoitoa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: CPD
toyota mark x
full option
push to start
imetembea 90000km
naiuza kwa 9m
haina shida yoyote kama ni wa mkoani ni kumwaga tu oil na kuanza safari
kwa mahitaji ya kuuza au kununua gari nitafute kwa namba 0659756647
b449e332-4f07-4a29-9c89-d96997e56dfa.jpg
981c3965-f7c8-4998-ac76-ff86c3c791ba.jpg
edf39f12-3dff-4e40-87ae-8786f4276524.jpg
47247eca-fa35-47a6-9519-18c8ec3f00a2.jpg
aabcd3db-f91a-4a2d-872b-16246535749b.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
toyota spacio
new model
full documents and ac
naiuza kwa 6.8m
kwa mahitaji ya kuuza au kununua gari yako nitafute ili nikusaidie kwa haraka kupata au kuuza gari yako
0659756647
168ceea9-eb3f-42b1-bb68-81b0f716cc37.jpg
79db31c3-a8f5-4cc9-8983-d321091ac08f.jpg
a97135e7-9dae-4d1a-b6fe-9d7f4ef2aed1.jpg
0053c088-a537-4620-b5b2-f9024d337577.jpg
cc782cde-9390-41f9-91b6-7e228b05617a.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
View attachment 1048148
View attachment 1048150
Hiyo Harrier dalali kaanzia 4.5m nimemtafuta mwenye na hizo za gari kasema hata chini ya 4m inazungumzika na kanieleza ukweli tatizo zima la gari, mileage nk sasa huoni Dalali kutokuweka namba za muuzaji anajiwekea 1m nzima na gari ikibuma hiyo 1m si ningenunulia injini pale Ilala, ndio maana sipendi gari iuzwe na watu wawili
Ukitaka kumjua mwenye gari ingia Traffic TMS CHECK - Tanzania Police Force namba ya leseni ya siku hiyo, au Ingia TRA au BIMA (TIRA MIS) ndipo utawaona wamiliki
Mkuu tunashukuru,,,,lakini kabla ya kunena hayo ungejiuliza mara mbili kama ni sahihi,ulichofanya ni kitendo cha kuharibu kazi za watu sio fresh maana hiyo ndo ajira yake. Unafikiri mwenye gari anamlipa yeye? anayo kazi ya kutafuta wateja na kujilipa mwenyewe afanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tunashukuru,,,,lakini kabla ya kunena hayo ungejiuliza mara mbili kama ni sahihi,ulichofanya ni kitendo cha kuharibu kazi za watu sio fresh maana hiyo ndo ajira yake. Unafikiri mwenye gari anamlipa yeye? anayo kazi ya kutafuta wateja na kujilipa mwenyewe afanye nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

kuna watu wana roho ngumu mno na hizo ni changamoto za kazi pia but pole yake ni kwamba gari zote nmekabidhiwa hivyo nmeingia makubaliano na wauzaji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nauza gari aina ya carina ti namba a gari inatembea na ipo katika hali nzuri pia inauzwa kwa 3.8m
kwa mahitaji ya kununua na kuuza gari lako usisite kunitafuta kwa namba hizo
f00790f8-35a4-4350-a549-eb6ad65f164c.jpg
ba2c834b-eb35-44a7-b70d-0ace8cc60341.jpg
8f1de1fb-e83d-4488-853e-1940651401b7.jpg
f4e08e4f-81e6-4d1d-bfd8-dd084d70376a.jpg

mawasiliano 0659756647



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
nauza toyota brevis
very low milleage
namba d
nauza kwa 7.5m
kwa mahitaji ya kuuza au kununua gari yako usisite kunitafuta kupitia namba
0659756647
104ef267-42b6-46ca-bd1c-8c680788dd16.jpg
9ee60c52-09ab-45a3-b269-edcf6b54017c.jpg
c1b830e3-7612-4b1d-9b13-b10b6a5608a4.jpg
bf0f1079-9ec3-4921-ac7d-c9debe235690.jpg
7a1eae36-12eb-40ec-8989-5fe20dfa77fb.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
toyota rav 4
engene 3s
naiuza kwa 6.5m
kwa mahitaji ya kuuza au kununua gari yako nitafute kwa namba
0659756647
13c86e77-129e-42d5-aac3-bcb3489dfb87.jpg
13c86e77-129e-42d5-aac3-bcb3489dfb87.jpg
2c953bf0-68d0-4726-b9c0-6ecb47fd1cd5.jpg
25951685-7c8d-4051-a8eb-9c5639253940.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Boss Raum nitapata kwa bei gan??

raum zipo mkuu mara nyingi bei huwa kubwa kulingana na namba za usajili wa gari but zipo sema tu unataka namba ipi au una budget gani unaweza kunitafuta kwa 0659756647 nkusaidie kwa uharaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
raum zipo mkuu mara nyingi bei huwa kubwa kulingana na namba za usajili wa gari but zipo sema tu unataka namba ipi au una budget gani unaweza kunitafuta kwa 0659756647 nkusaidie kwa uharaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
Namba D
 
Piga kazi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Biashara ya kizamani sana tena ya kishamba, watu mnaelekezwa njia rahisi ya kuweka Contact na specification za magari ziwe open mnazificha
sasa Hasara huoni ni kwa mwenye mali
Dalali siku zote atarundika magari yakikosa mteja anasonga mbele
Ni gari gani limeuzwa kwa njia hii tangu Tangazo litoke hata mwaka utaisha
Magari yanauzwa kila siku na kwa mitandao mingi tu ingia www.zoomtanzania.com uone walivyaAdvance
simu unampigia mwenye Gari moja kwa moja dalali anapewa chake km ni lazima
 
Ni Biashara ya kizamani sana tena ya kishamba, watu mnaelekezwa njia rahisi ya kuweka Contact na specification za magari ziwe open mnazificha
sasa Hasara huoni ni kwa mwenye mali
Dalali siku zote atarundika magari yakikosa mteja anasonga mbele
Ni gari gani limeuzwa kwa njia hii tangu Tangazo litoke hata mwaka utaisha
Magari yanauzwa kila siku na kwa mitandao mingi tu ingia www.zoomtanzania.com uone walivyaAdvance
simu unampigia mwenye Gari moja kwa moja dalali anapewa chake km ni lazima

mkuu unataka kujua zilishauzwa gari ngapi mpka sasa kupitia uzi huu?pole sana ndugu acha wahitaji tuwahudimie,mie siyo dalali local kama unavyodhania kwani nina ofisi na nnalipa kodi kwa nchi yangu hvyo nipo legally


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom