Mm ni fundi na niko Mkoani km ujuavyo kule nakula 10m mpaka 13 km ni black kwa wasukuma wachimbaji na wafugaji wa kimasai (unaswaga ng'ombe zako 20 mpaka Pugu halafu nakutafuta, hawa watu kwa sasa hawataki tena Land Rover 110 km unazo tufanye biashara, mm nabadili injini na naziuzaUkwaju mbona unapenda sana mateso??? acha kununua gari zilizochakaa hivi utakuja kujuta ndugu
Mm ni fundi na niko Mkoani km ujuavyo kule nakula 10m mpaka 13 km ni black kwa wasukuma wachimbaji na wafugaji wa kimasai (unaswaga ng'ombe zako 20 mpaka Pugu halafu nakutafuta, hawa watu kwa sasa hawataki tena Land Rover 110 km unazo tufanye biashara, mm nabadili injini na naziuza
View attachment 1048148
View attachment 1048150
Hiyo Harrier dalali kaanzia 4.5m nimemtafuta mwenye na hizo za gari kasema hata chini ya 4m inazungumzika na kanieleza ukweli tatizo zima la gari, mileage nk sasa huoni Dalali kutokuweka namba za muuzaji anajiwekea 1m nzima na gari ikibuma hiyo 1m si ningenunulia injini pale Ilala, ndio maana sipendi gari iuzwe na watu wawili
Ukitaka kumjua mwenye gari ingia Traffic http://tms.tpf.go.tz/ namba ya leseni ya siku hiyo, au Ingia TRA au BIMA (TIRA MIS) ndipo utawaona wamiliki
Mkuu tunashukuru,,,,lakini kabla ya kunena hayo ungejiuliza mara mbili kama ni sahihi,ulichofanya ni kitendo cha kuharibu kazi za watu sio fresh maana hiyo ndo ajira yake. Unafikiri mwenye gari anamlipa yeye? anayo kazi ya kutafuta wateja na kujilipa mwenyewe afanye nini?View attachment 1048148
View attachment 1048150
Hiyo Harrier dalali kaanzia 4.5m nimemtafuta mwenye na hizo za gari kasema hata chini ya 4m inazungumzika na kanieleza ukweli tatizo zima la gari, mileage nk sasa huoni Dalali kutokuweka namba za muuzaji anajiwekea 1m nzima na gari ikibuma hiyo 1m si ningenunulia injini pale Ilala, ndio maana sipendi gari iuzwe na watu wawili
Ukitaka kumjua mwenye gari ingia Traffic TMS CHECK - Tanzania Police Force namba ya leseni ya siku hiyo, au Ingia TRA au BIMA (TIRA MIS) ndipo utawaona wamiliki
Mkuu tunashukuru,,,,lakini kabla ya kunena hayo ungejiuliza mara mbili kama ni sahihi,ulichofanya ni kitendo cha kuharibu kazi za watu sio fresh maana hiyo ndo ajira yake. Unafikiri mwenye gari anamlipa yeye? anayo kazi ya kutafuta wateja na kujilipa mwenyewe afanye nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kazi mkuukuna watu wana roho ngumu mno na hizo ni changamoto za kazi pia but pole yake ni kwamba gari zote nmekabidhiwa hivyo nmeingia makubaliano na wauzaji
Sent from my iPhone using JamiiForums
Boss Raum nitapata kwa bei gan??
Namba Draum zipo mkuu mara nyingi bei huwa kubwa kulingana na namba za usajili wa gari but zipo sema tu unataka namba ipi au una budget gani unaweza kunitafuta kwa 0659756647 nkusaidie kwa uharaka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni Biashara ya kizamani sana tena ya kishamba, watu mnaelekezwa njia rahisi ya kuweka Contact na specification za magari ziwe open mnazifichaPiga kazi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Biashara ya kizamani sana tena ya kishamba, watu mnaelekezwa njia rahisi ya kuweka Contact na specification za magari ziwe open mnazificha
sasa Hasara huoni ni kwa mwenye mali
Dalali siku zote atarundika magari yakikosa mteja anasonga mbele
Ni gari gani limeuzwa kwa njia hii tangu Tangazo litoke hata mwaka utaisha
Magari yanauzwa kila siku na kwa mitandao mingi tu ingia www.zoomtanzania.com uone walivyaAdvance
simu unampigia mwenye Gari moja kwa moja dalali anapewa chake km ni lazima