ATRACURIUM
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 753
- 918
Habari wapendwa,
jina langu naitwa jerry najihusisha na biashara ya uuzaji wa magari ambayo yametumika Tanzania,kupitia uzi huu ntakuwa naweza magari mbalimbali ambayo nmekabidhiwa na wahusika ili nipate kuwauzia,magari hayo ni mazuri na yenye ubora ambayo ninayauza kwa bei nafuu pia,pia kama unauza au unataka kununua gari nzuri yenye ubora basi naomba nitafute ili nipate kukupatia gari unalohitaji kwa gharama nafuu na bora kabisa
namba zangu ni
0659756647
0623953036
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ofisi yako ni wapi kwani inapendeza zaidi ukiwa na Ofisi ambayo imeandikishwa na Brela?