Attainer Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 433
- 790
Bora x3 kuliko x5. Kwanza kabla ya kununua haya magari ujue series za engine zinazofit kwenye hiyo gari na engine ipi iliyofanikiwa kwenye hiyo gari kisha nunua hiyo gari ikiwa fitted na hiyo engine iliyofanikiwa.Hiyo BMW X5, 13 Ninayo hapa sijui nani alinishauri ninunue imenifanya nimechukia kampuni ya BM