nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 526
Hii labda niitumie pale JKNIA kukagulia runwayHii inapatikana hadi kwa million 3 baada ya makato ya kodi. View attachment 1168519
Kha,,,,!!mwamba minilijua ww ndo unatuletea nondo kuhusu hii mada ya magari chief,,?
Nikajua nakutana na ndinga za bei tulivu, kumbe.
Na mimi nilidhani umeamua kufuata nyendo za akina Njaliko, Master of the game, Tax payers, nk kuja kutuuzia magari kwa bei nafuu zaidi, kumbe......!
Hii inapatikana hadi kwa million 3 baada ya makato ya kodi. View attachment 1168519
Ha ha ha....Hii inapatikana hadi kwa million 3 baada ya makato ya kodi. View attachment 1168519
Hii gari Ukiagiza kupitia Beforward,Mimi naweka picha tu bei yake nafuu wataweka wengineView attachment 1169757View attachment 1169758View attachment 1169759View attachment 1169760
Hii gari Ukiagiza kupitia Beforward,
Mpaka mkononi Shilingi za kizalendo, Milioni 5 laki 8 lazima ikutoke.
Bei yake kama ni sawa tu kumvua mtu Brevis ya mkononi.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Hii inapatikana hadi kwa million 3 baada ya makato ya kodi. View attachment 1168519