naomba kujua uzuri wa magari ya FORD
nafahamu ford everest, ford ranger, ford expedition, ford escape, ford explorer.
Je yapo magari used?
Je ni 4WD au 2WD?
kampuni gani iliyopo Dar inauza?
Rafiki nakushauri usithubutu kununua FORD ukiwa TZ, spare zake hazipatikani kirahisi. Kuna watu huwa wanaziweka gari zao juu ya mawe wakisubiri spare kutoka Nairobi au Marekani.
Rafiki nakushauri usithubutu kununua FORD ukiwa TZ, spare zake hazipatikani kirahisi. Kuna watu huwa wanaziweka gari zao juu ya mawe wakisubiri spare kutoka Nairobi au Marekani.