wengi wao hawana labda vibabu vilivyostaafu udereva vinakuwa vinapiga daiwaka, kikifikisha watoto kinapiga uji kinachapa usingizi kwenye gariKama ni hivyo basi sheria zetu pia bado zinamapungufu
Kwani abiria ni nani? kisheria
Ni tatizo kwakweli ina maana madereva wa mabasi ya shule hawana class C ?
Uwiiii Mungu wangu [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]